Mbadala wa Aucho huyu hapa

YANGA wameanza mapema kukifanyia maboresho kikosi chao kuelekea msimu ujao, baada ya kupiga hodi kuulizia huduma ya kiungo mkabaji, Yusuph Kagoma kama mbadala mpya wa staa wao, Khalid Aucho. Kagoma ni kati ya viungo wakabaji wazawa wanaofanya vizuri katika Ligi Kuu Bara ambapo msimu huu amekuwa akiitumikia Singida Fountain Gate aliyojiunga nayo kipindi cha usajili…

Read More

Mwisho wa ubishi CAFCL | Mwanaspoti

Pretoria, Afrika Kusini. Mechi za pili za Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya nusu fainali zinapigwa leo kwenye viwanja viwili tofauti, hadi saa sita usiku timu zitakazokwenda fainali zitakuwa zimeshafahamika. Hii ni hatua muhimu kwenye michuano hiyo mikubwa barani Afrika, ambapo Al Ahly ambayo iliitupa nje Simba kwenye hatua ya robo fainali, itaingia uwanjani kuvaana…

Read More

Mafuriko yakatisha safari mabasi yaendayo haraka Dar

Dar es Salaam. Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) imesitisha safari zake kupitia barabara za Morogoro na Kawawa jijini Dar es Salaami kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini na kusababisha mafuriko eneo la Jangwani na Mkwajuni. Hii si mara ya kwanza kuchukuliwa kwa hatua hiyo, mwanzoni mwa wiki hii Dart ilisitisha huduma kati ya…

Read More

May Day ni ya wafanyakazi wastaafu je?

Siku ya kwanza ya Mei, wafanyakazi nchini wanajiunga na wafanyakazi wengine duniani kuadhimisha sikukuu yao ya ‘May Day.’ Inaelezwa kuwa ni kumbukumbu ya wafanyakazi kukata minyororo ya uonevu na kujikomboa kutoka kwa waajiri wao waliokuwa wanawaonea. Kwa Tanzagiza wafanyakazi wanasherehekea tu kupata sare mpya na kuandamana. Labda mara hii kikokotozi kitachapa lapa! Ni Sikukuu ya…

Read More

BARAZA LA MAWAZIRI EAC LAKUTANA JIJINI ARUSHA

Mkutano Maalum wa 53 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki umefanyika leo tarehe 25 Aprili 2024 Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha. Mkutano huo, pamoja na masuala mengine umejadili na kupitisha Makadrio ya Bajeti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Ujumbe wa Tanzania katika Mkutano huo umeongozwa…

Read More