MWENGE WA UHURU KUINGIA MKOA WA PWANI APRILI 29

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge akizungumza  na Waandishi wa Habari  Ofisini kwake leo Aprili  25, 2024 hawapo pichani. Na Khadija Kalili, Michuzi Tv MKUU wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge ametoa ratiba ya kuukimbiza Mwenye wa Uhuru ambao utaingia Mkoa wa Pwani Aprili 29 ukitokea Mkoa wa Morogoro. Akizungumza katika mkutano…

Read More

Kaizer Chiefs yamuhitaji Amrouche | Mwanaspoti

ADEL Amrouche amerejea tena kwenye rada za kuinoa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, baada ya timu hiyo kuonekana kuhitaji kocha mwingine kwa ajili ya msimu ujao. Ripoti kutoka Afrika Kusini zinabainisha kwamba, kocha huyo raia wa Algeria aliyeiongoza Taifa Stars katika michuano ya Afcon 2023 iliyofanyika Ivory Coast, anapewa nafasi kubwa kutokana na hapo awali…

Read More

Rais Samia ampa zawadi ya fedha Changalawe na wenzake

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemzawadia zawadi ya fedha nahodha wa timu ya taifa ya Faru Weusi wa Ngorongoro, Yusuph Changalawe na wenzake kutokana na kufanikiwa kushinda medali tatu za shaba katika michuano ya All African Games. Mabondia waliofanya vizuri katika mashindano hayo mbali ya Changalawe ni Mussa Maregesi…

Read More

Watu wanne wafariki dunia ajali ya moto Kagera

Kagera. Watu wanne wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa katika ajali ya moto baada ya nyumba waliyokuwa wanaishi kuungua moto unaodaiwa kusababishwa na mafuta ya petroli yaliyokuwa yamehifadhiwa kwenye madumu. Ajali hiyo imetokea alfajiri leo Aprili 25, 2024 katika Kata ya Rusumo, Wilaya ya Ngara mkoani Kagera kwenye nyumba ya Dominick Didas, yenye vyumba vinne…

Read More

Tanzania na Urusi Kushirikiana Kudhibiti Uhalifu wa Kimtandao

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(kulia) na Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu wa wizara hiyo, Miriam Mmbaga(wapili kushoto) wakisikiliza ufafanuzi wa programu maalumu ya kudhibiti uhalifu wa Kimtandao kutoka kwa Meneja Mauzo wa Kampuni ya SOLAR,Timul Solovev wakati wa Maonesho ya Teknolojia ya Kudhibiti Uhalifu huo yanayoendelea katika Ukumbi…

Read More

Bilioni 19.7 kubadili Uwanja wa Uhuru

SERIKALI kupitia Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo umesaini mkataba na Kampuni ya Railway Construction Engineering Group (CRCEG) kutoka China, kwa ajili ya ukarabati wa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Mkataba huo una thamani ya Sh19.7 bilioni kabla ya VAT huku ukarabati ukitarajiwa kuchukua takriban miezi 12 ili kukamilika. Akizungumza katika hafla ya kusaini…

Read More

S.H. Amon apoteza umiliki jumba la ghorofa nane Kariakoo

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani imekazia uamuzi wake wa awali unaomuondolea mfanyabiashara Sauli Amon, maarufu S.H. Amon umiliki wa jumba la ghorofa nane alilojenga eneo la Kariakoo, Dar es Salaam. Jumba hilo lipo katika kiwanja alichonunua nyumba awali. Uamuzi huo unatokana na shauri la maombi ya marejeo alilolifungua S.H. Amon, akipinga hukumu ya Mahakama…

Read More

TFS WACHANGIA MIL.20 KWA WENYE MAAFA KIBITI NARUFIJI

Na Khadija Kalili ,Michuzi Tv MKUU wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge leo amepokea hundi yenye thamani ya Mil.20 kutoka Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) ikiwa ni katika muendelezo wa kuchangia watu wa Kibiti na Rufiji ambao wamepata changamoto ya mafuriko yaliyotokana na mvua zinazoendelea nchini kote. Imeelezwa na Afisa Uhusiano wa TFS Johary…

Read More