UCSAF yapongezwa kwa kujenga na kuhamia Dodoma
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango ameupongeza Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote(UCSAF) kwa kutekeleza maelekezo ya Serikali kwa taasisi za umma kujenga na kuhamia katika Makao Makuu ya nchi Dodoma. Akizungumza kabla ya kuzindua rasmi jengo la Ofisi za Makao Makuu ya UCSAF leo Aprili 25, 2024…