Kwenye soka pele, ngumi kuna ali, kriketi yupo

Garfield (Gary) Sobers. Moja ya majina makubwa sana katika Kisiwa cha Barbados ikiwa ni zaidi ya miaka 40 anaimbwa na kila mtu. Ameitangaza vyema nchi yake na kuipa heshima kubwa kimataifa akiwa mchezaji wa kriketi maarufu miaka ya 1980. Sober ni jina lililoingia kwenye ukurasa maalumu wa miamba ya mchezo huo duniani waliofanya mambo ambayo…

Read More

Mkakati mkubwa wa teknolojia ya kifedha, kuimarisha uwezo wa biashara za wasambazaji wa ndani na wajasiriamali wazinduliwa

Katika mkakati unaolenga kuleta mabadiliko kwenye sekta ya biashara, na kuendeleza upatikanaji wa huduma za kifedha nchini Tanzania kwa ufanisi zaidi benki ya Stanbic Tanzania inashirikiana na Ramani, kampuni namba moja kwenye teknolojia ya kifedha, malengo yakiwa kutumia teknolojia na msaada kubwa ya kifedha, kuimarisha uwezo wa biashara za wasambazaji wa ndani na wajasiriamali. Muunganiko…

Read More

Mbunge alalama uwezo mdogo wa transifoma

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Jesca Kishoa ameitaka Serikali kufunga transifoma zenye ukubwa wa kilovoti 200 hadi 315 ili kukidhi mahitaji ya kuendesha viwanda jimboni Mkalama, mkoani Singida. Amesema hayo leo Alhamisi Aprili 25, 2024 bungeni Dodoma alipouliza swali la nyongeza kuhusu uwezo mdogo wa transifoma zilizoko jimboni humo zenye ukubwa wa kilovoti 50…

Read More

SHINDANO LA BINGWA MSIMU TATU KUWAFIKIA VIJANA MIKOANI

Meneja Masoko wa Kampuni ya Parimatch Levis Paul akizungumza machache mara baada ya Kuzinduliwa kwa Msimu wa tatu wa Shindano la Bingwa ambapo msimu huo Kampuni hiyo ikiwa wadhamini wakuu wa shindano.  Meneja programu wa shindano la Bingwa Ombeni Phiri akieleza namna Shindano hilo litakavyoshirikisha Mikoa mitano ambayo ni Arusha,Mbeya,Mwanza,Dodoma pamoja na Dar es Salaam….

Read More

Freddy namba zinambeba Simba | Mwanaspoti

SIMBA baada ya kuchapwa mabao 2-1 na watani wao wa jadi Yanga kwenye mechi ya ligi wikiendi iliyopita, jana ilikuwa uwanjani Zanzibar kwaajili ya michuano ya Kombe la Muungano lililorejea baada ya miaka 20, ila kubwa zaidi ni namna mshambuliaji wake Freddy Michael anavyojitofautisha na wachezaji washambuliaji wengine wa kikosi hicho. Pamoja na kuwa Simba…

Read More

Mbowe ataka mifumo Tume ya Uchaguzi irekebishwe

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amemtaka Rais Samia Suluhu Hassan kurekebisha mifumo ili kuwe na Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba mpya itamkayolinda na kutetea masilahi ya Watanzania wenye hali duni, wakiwemo wafanyabiashara wadogo na wakulima. Amesema hayo alipohutubia mkutano wa hadhara uliofanyika jana Aprili 24, 2024 katika stendi ya zamani ya mabasi mjini Bariadi…

Read More