Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 6
Habari

Ajali ya gari Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera yajeruhi watu 9

April 30, 2024 Admin

Gari ya abiria aina ya Costa yenye namba za usajili T 117 EBP imefeli breki na kugonga gari nyingine aina ya Land cruiser yenye namba

Read More
Habari

TMA yapongezwa kuimarisha ubora na usahihi wa taarifa za Hali ya Hewa

April 30, 2024 Admin

  WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), wamekutana kupitia kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa TMA kilichofanyika katika ukumbi wa NSSF, Morogoro

Read More
Habari

Wizara ya Madini kuwezesha wachimbaji wanawake, vijana

April 30, 2024 Admin

Dodoma. Wakati Wizara ya Madini imekuja na programu ya ‘madini ni mwanga kesho’ (MBT) kwa vijana na wanawake, pia imeliomba Bunge kuridhia bajeti ya Sh231.9

Read More
Habari

DHAMIRA YA RAIS SAMIA NI KUHAKIKISHA KILA MWANANCHI ANANUFAIKA NA UTALII WA ARUSHA- RC MAKONDA

April 30, 2024 Admin

Na Jane Edward, Arusha Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amesema dhamira ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.

Read More
Habari

Bashungwa aagiza kukamatwa kwa mkandarasi anayejenga daraja la Mpiji chini – Dar

April 30, 2024 Admin

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amemuagiza Kamanda wa Polisi Wilaya ya Kinondoni (OCD), Mohamed Senkondo, kumshikilia Meneja Mradi wa Kampuni ya China Railway Seventh Group

Read More
Habari

Bunifu 42 za Kitanzania tayari kwenda sokoni

April 30, 2024 Admin

Dodoma. Bunifu na teknolojia 42 kati 283, zilizoibuliwa kupitia Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (Makisatu) na kuendelezwa kupitia Tume ya Taifa ya

Read More
Habari

LSF YATIA SAINI PAMOJA NA BENKI YA STANBIC TANZANIA KULETA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI WA KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO

April 30, 2024 Admin

Jumatatu, Aprili 29, 2024 – Dar es Salaam, Taasisi isiyo ya kiserikali ya The Legal Services Facility (LSF), kwa kushirikiana na Benki ya Stanbic Tanzania,

Read More
Michezo

PUMZI YA MOTO: Mkasa wa Pamba FC kushuka daraja 2001

April 30, 2024 Admin

HATIMAYE Pamba ya Mwanza imefanikiwa kurudi Ligi Kuu Bara tangu ishuke daraja 2001. Klabu hiyo ambayo sasa inatambulika kama Pamba Jiji, imepanda baada ya ushindi

Read More
Habari

Watendaji watakiwa kusimia mfumo wa Force Account

April 30, 2024 Admin

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Christopher Ngubiagai amewatala Maafisa Tarafa na Watendajo wa Kata kuhakikisha wanasimamia kikamilifu matumizi ya mfumo wa Force Account ili

Read More
Habari

Wanasheria Tanzania wapewa ujuzi kukabili uhalifu mtandao

April 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ili kuimarisha utaalamu na mbinu za kisheria katika kukabiliana na uhalifu wa mtandao, Serikali inashirikiana na Urusi kubadilishana uzoefu na elimu juu

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 5 6 7 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.