Miaka Sita ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ni mapinduzi ya uwekezaji wazawa.
Na Mwandishi Wetu Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi (NEEC) Bi Beng’i Issa amesema kuwa katika miaka sita ya Rais Dkt.SamiaSuluhu Hassan kimekuwa na mapinduzi katika uwekeaji nchini kwa wazawa. Beng’i ameyasema hayo wakati wa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kongamano la nne la Ushiriki wa Watanzania kwenye uchumi na…