Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 7
Habari

KITUO CHA UWEKEZAJI TANZANIA (TIC) KUJENGWA ARUSHA

April 30, 2024 Admin

Mkurugenzi Mtendaji kituo cha uwekezaji Tanzania TIC Bw. Gilead Teri akizungumza na katika kongamano la uwekezaji katika Ukumbi wa mkutano Gran Melia Jijini Arusha, Aprili

Read More
Michezo

Mechi tisa za Mgunda kutembeza boli hizi hapa

April 30, 2024 Admin

JUMA Mgunda na Seleman Matola wanaanza kibarua chao ndani ya Simba Jioni hii. Lakini ana mechi tisa mkononi ambazo atalazimika kutembeza boli kwa namna yoyote

Read More
Habari

Rais Samia Suluhu Hassan yupo tayari kutatua kero za wananchi ikiwemo kusogeza huduma ya maji safi:Mzava

April 30, 2024 Admin

Kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa( 2024 ), Godfrey Mzava ameeleza ,Rais Samia Suluhu Hassan yupo tayari na amekuwa na utashi kuhakikisha anashusha raslimali fedha

Read More
Habari

Serikali kujenga nyumba 562 za walimu

April 30, 2024 Admin

Dodoma. Serikali imesema mwaka wa fedha 2024/25, itajenga jumla ya nyumba za walimu 562 zinazotosha familia 1,124. Hayo yamesemwa leo Jumanne Aprili 30, 2024 na

Read More
Habari

Zingatia haya kulinda vifaa vya umeme nyumbani msimu huu wa mvua.

April 30, 2024 Admin

Maeneo tofauti nchini Tanzania yanashuhudia mvua kubwa ambazo sio tu zinaathiri miundombinu na kuhatarisha usalama wa maisha ya watu bali pia inaweza kuwa hata kwa

Read More
Michezo

Mabao yatawabakisha Ligi Kuu | Mwanaspoti

April 30, 2024 Admin

MSIMU wa Ligi Kuu 2023/2024 unakaribia ukingoni na timu pamoja na wachezaji wanakaribia kuvuna kile walichokipanda ambacho ni ama kumaliza vizuri au kumaliza vibaya pindi

Read More
Habari

Rais Ruto aitisha kikao cha baraza la mawaziri kuhusu mafuriko makubwa yalioikumba Kenya

April 30, 2024 Admin

Rais wa Kenya William Ruto aliitisha kikao maalum cha baraza la mawaziri siku ya Jumanne kujadili hatua za kukabiliana na mafuriko ambayo yamesababisha vifo vya

Read More
Habari

Marekani yakhofia mauaji ya kimbari Darfur – DW – 30.04.2024

April 30, 2024 Admin

Marekani imezitaka nchi zote zinazopeleka silaha kwa pande mbili zinazopambana katika vita nchini Sudan kusitisha hatua hiyo.Marekani imeonya kwamba historia inajirudia katika jimbo la Darfur,Magharibi

Read More
Habari

Kahawa kuuzwa kwa ‘bajaji’ kukuza soko

April 30, 2024 Admin

Dodoma. Katika kuongeza masoko ya kahawa inayozalishwa nchini, Serikali imebuni na kutengeneza migahawa inayotembea kwa kutumia pikipiki za miguu mitatu kwa ajili ya kuuza kahawa

Read More
Habari

MIILI MITANO ILIYOSOMBWA NA MAFURIKO MOSHI YAAGWA.

April 30, 2024 Admin

NA WILLIUM PAUL, MOSHI.  MIILI mitano kati ya saba iliyosombwa na mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali katika kata ya Kimochi na Mbokomu

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 6 7 8 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.