Serikali kuunda timu tatu kuelekea Afcon 2027

Dodoma. Serikali ina mpango wa kuunda timu tatu imara za soka za Taifa kulingana na umri ambazo zitashiriki mashindano ya Afcon 2027 na mengine ambayo nchi itashiriki. Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma amesema hayo leo Jumatatu Aprili 30, 2024 alipojibu maswali ya nyongeza ya Mbunge wa Jimbo la Magomeni, Mwanakhamis Kassim…

Read More

Wahitimu UDSM Five Class 2007 wanajambo lao

Na Mzandishi Wetu, Mtanzania Digital Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM) five Class 2007 wanatarajia kukutana jijini Dar es Salaam kubadilishana mawazo na kushirikishana fursa mbalimbali za maendeleo. Akizungumza na Mtanzania Digital leo Aprili 30,2024 jijini Dar es Salaam, Kiongozi wa wahitimu hao, Frank Gwaluma amesema kikao hicho kitafanyika The Deck…

Read More

Jamii yaombwa kusaidia matibabu watoto wenye mtindio wa ubongo

Dar es Salaam. Wananchi, mashirika ya umma na binafsi wameombwa kuchangia kampeni kuwasaidia watoto wenye mtindio wa ubongo walio chini ya uangalizi wa Hospitali ya CCBRT. Hatua hiyo inaelezwa itasaidia kuleta mabadiliko kwa watoto chini ya miaka mitano wenye mtindio wa ubongo. Imeelezwa kuna changamoto ya vifaatiba kwa ajili ya matibabu ya watoto hao hospitalini…

Read More

Wafanyakazi Manyara walia na kikotoo, mshahara mdogo.

Na John Walter -Manyara Wafanyakazi wameiomba serikali kushughulikia changamoto waliyonayo kwa muda mrefu juu ya kikokotoo cha mafao pindi wanapostaafu. Akizungumza katika maadhimisho ya Meimosi yaliyoandaliwa na shirikisho la vyama la Wafanyakazi (TUCTA) mkoa wa Manyara yaliyofanyika April 29,2024 uwanja wa Tanzanite Kwaraa mjini Babati , Katibu wa TUICO mkoa wa Manyara Juma Makanyaga amesema…

Read More

Samasoti baharini inayolipa vijana mkwanja wa maana

MAKACHU ni mchezo unaochezwa sana maeneo ya Forodhani, Zanzibar katika Bahari ya Hindi, kwa wachezaji kujirusha umbali mrefu kutoka nchi kavu hadi majini. Lakini, nyuma ya mchezo huo kuna makanja wa maana tu ambao wanaingiza vijana wanaocheza makachu, kwani kwa wastani kila siku huingiza takriban Sh50,000 ambapo kwa mwezi ni zaidi ya Sh1.5 milioni. Kwa…

Read More

Wakazi Ileje waiangukia Serikali mradi wa maji ukamilike

Songwe. Wakazi wa miji ya Itumba na Isongole wilayani Ileje Mkoa wa Songwe wameiomba Serikali kuharakisha ujezi wa mradi wa maji unaojengwa kwa gharama ya Sh 4.9 bilioni ili kutatua changamoto ya huduma hiyo. Kukamilika kwa mradi huo kutawanufaisha wananchi takribani 20,000 wa eneo hilo. Wananchi wametoa maombi hayo kwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe,…

Read More