Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 8
Burudani Michezo

Serikali kuunda timu tatu kuelekea Afcon 2027

April 30, 2024 Admin

Dodoma. Serikali ina mpango wa kuunda timu tatu imara za soka za Taifa kulingana na umri ambazo zitashiriki mashindano ya Afcon 2027 na mengine ambayo

Read More
Habari

Wahitimu UDSM Five Class 2007 wanajambo lao

April 30, 2024 Admin

Na Mzandishi Wetu, Mtanzania Digital Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM) five Class 2007 wanatarajia kukutana jijini Dar es Salaam kubadilishana

Read More
Habari

Mazungumzo ya uchafuzi wa plastiki yapiga hatua – DW – 30.04.2024

April 30, 2024 Admin

Kwa mara ya kwanza katika mazungumzo hayo, wajumbe kutoka nchi 175 na waangalizi walijadili rasimu ya kile kitakachokuwa mkataba wa kimataifa wa kukomesha janga la

Read More
Habari

Jamii yaombwa kusaidia matibabu watoto wenye mtindio wa ubongo

April 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wananchi, mashirika ya umma na binafsi wameombwa kuchangia kampeni kuwasaidia watoto wenye mtindio wa ubongo walio chini ya uangalizi wa Hospitali ya

Read More
Habari

Wafanyakazi Manyara walia na kikotoo, mshahara mdogo.

April 30, 2024 Admin

Na John Walter -Manyara Wafanyakazi wameiomba serikali kushughulikia changamoto waliyonayo kwa muda mrefu juu ya kikokotoo cha mafao pindi wanapostaafu. Akizungumza katika maadhimisho ya Meimosi

Read More
Michezo

Samasoti baharini inayolipa vijana mkwanja wa maana

April 30, 2024 Admin

MAKACHU ni mchezo unaochezwa sana maeneo ya Forodhani, Zanzibar katika Bahari ya Hindi, kwa wachezaji kujirusha umbali mrefu kutoka nchi kavu hadi majini. Lakini, nyuma

Read More
Habari

Hamas na Fatah wazungumza na kulenga kufikia maridhiano – DW – 30.04.2024

April 30, 2024 Admin

Makundi hasimu ya wapiganaji wa Kipalestina ya Hamas na Fatah wameeleza nia yao ya kisiasa ya kutaka  maridhiano kwa njia ya mazungumzo walipokutana mjini Beijing. Hayo yameelezwa

Read More
Habari

Wakazi Ileje waiangukia Serikali mradi wa maji ukamilike

April 30, 2024 Admin

Songwe. Wakazi wa miji ya Itumba na Isongole wilayani Ileje Mkoa wa Songwe wameiomba Serikali kuharakisha ujezi wa mradi wa maji unaojengwa kwa gharama ya

Read More
Habari

RC DANIEL CHONGOLO:HAKUNA ATAKAYEKWEPA MKONO WA DOLA KUHUSU MIMBA ZA UTOTONI

April 30, 2024 Admin

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Daniel Chongolo amekemea vikali tabia ya uwepo wa mimba za utotoni hususani wanafunzi katika Wilaya ya Ileje ambapo amesema

Read More
Michezo

JIWE LA SIKU: Wauaji wapya watatu tu Simba itatisha Afrika

April 30, 2024 Admin

SIMBA ndiyo timu pekee ya Ligi Kuu Bara ambayo ina taji lolote hadi sasa msimu huu, japo ukimweleza hilo shabiki wa Wekundu wa Msimbazi atakuona

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 7 8 9 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.