Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 80
Habari

Makada Chadema kumkabili Lema Kaskazini

April 20, 2024 Admin

Mbeya. Wakati vigogo wa Chadema Kanda za Victoria, Serengeti, Nyasa na Magharibi wakipigana vikumbo kuchukua na kurejesha fomu za kuwania uongozi, baadhi ya makada wa

Read More
Michezo

Kakolanya aigomea Singida | Mwanaspoti

April 20, 2024 Admin

SIKU chache baada ya Kamati ya Nidhamu ya Singida Fountaine Gate kumuandikia barua kipa wao, Beno Kakolanya kwa ajili ya kujibu tuhuma zinazomkabili za kutoroka

Read More
Michezo

Yanga kutembea na upepo wa Arajiga leo?

April 20, 2024 Admin

YANGA inashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 11:00 jioni kupambana na watani zao, Simba, huku timu hiyo ikiwa na rekodi bora msimu huu wakati

Read More
Habari

Sababu aliyekuwa CDF Kenya kuzikwa bila jeneza

April 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Marehemu Francis Ogalla aliyekuwa Mkuu wa Majeshi nchini Kenya, atazikwa pasipo mwili wake kuwekwa kwenye jeneza, kaka yake mkubwa Canon Hezekiah ameeleza.

Read More
Michezo

Usalama waimarishwa Kwa Mkapa | Mwanaspoti

April 20, 2024 Admin

LICHA ya uchache wa mashabiki kabla ya mchezo wa watani wa jadi, Yanga dhidi ya Simba unaotarajiwa kupigwa saa 11:00 jioni, usalama umeimarishwa kila kona.

Read More
Habari

Mfumo dume unavyowatesa wanawake walima mpunga Mbarali

April 20, 2024 Admin

Mbeya. Wanawake wa Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, wanajishughulisha na kilimo cha mpunga wanakabiliwa na changamoto kubwa ya mfumo dume unaozua migogoro inayowasababishia vipigo na

Read More
Michezo

Vita ya mabingwa wa CAF yaanza upya!

April 20, 2024 Admin

Achana na Kariakoo Dabi itakayopigwa kuanzia saa 11:00 jioni kwa vigogo Simba na Yanga kuvaana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, saa moja kabla huko Lubumbashi,

Read More
Michezo

Neema ya Kariakoo Dabi kiuchumi

April 20, 2024 Admin

Achana na burudani wanayopata mashabiki wa soka nchini inapokuja Dabi ya Kariakoo, lakini ukweli, pambano hilo la watani wa jadi nchini, limekuwa na neema kubwa

Read More
Michezo

Jumamosi yaibeba Yanga Kariakoo Dabi

April 20, 2024 Admin

MASHABIKI wa Yanga na Simba tayari viroho vimeanza kuwadunda, wakati wakiendelea kuhesabu siku kabla ya timu zao kushuka katika pambano la Ligi Kuu Bara litakalopigwa

Read More
Michezo

Singida FG, Mashujaa vita ya matumaini

April 20, 2024 Admin

KESHO Jumapili Singida Fountain Gate na Mashujaa FC zitakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu za matumaini ya kubaki Ligi Kuu Bara na kumaliza nafasi

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 79 80 81 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.