Mtoto adaiwa kujinyonga Arusha kisa kuchelewa shule

Arusha. Mwanafunzi wa darasa la saba katika Shule ya Msingi Olomitu iliyoko Chekereni jijini Arusha, Yusuph Zephania (13) anadaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kuogopa adhabu itakayotolewa kwake baada ya kuchelewa shule. Tukio hilo limetokea jana April 18, 2024 nje ya nyumba katika kamba ya kuanikia nguo iliyokuwa nje. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, SACP…

Read More

Mambo 3 yanaibeba Yanga SC

JUMAMOSI ya wiki hii, inapigwa Kariakoo Dabi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Yanga itakuwa mwenyeji wa Simba ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Kuanzia saa 11:00 jioni, ndiyo mchezo huo unatarajiwa kufanyika na kila upande unazihitaji alama tatu ili kujiwekea mazingira mazuri kunako ligi hiyo inayoelekea ukingoni. Yanga na Simba kila mmoja ameutolea macho…

Read More

Hizi hapa dalili za changamoto ya afya ya akili kwa mjamzito

Mwanza. Kukosa usingizi wakati wa ujauzito, kujilaumu, kuwaza sana, kula sana na wakati mwingine kutokula kabisa ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuwa dalili za changamoto ya afya ya akili kwa mjamzito. Dalili hizo zimebainishwa leo Ijumaa Aprili 19, 2024 wakati wa kufunga mafunzo kuhusu changamoto ya afya ya akili kwa wajawazito na kina mama waliojifungua…

Read More

Kalaba apata nafuu, aanza kuzungumza, kula

ALIYEKUWA nyota wa  TP Mazembe na timu ya taifa ya Zambia, Rainfold Kalaba  amerejewa na fahamu na sasa anaweza kuzungumza na kula. Akitoa taarifa hiyo leo Ijumaa, Ofisa Uhusiano wa University Teaching Hospital (UTH), Nzeba Chanda, amesema kwamba Kalaba baada ya kupata nafuu amefanikiwa kupata mlo wa kwanza tangu ajali hiyo ilipotokea Jumamosi iliyopita. “Hali…

Read More

Dk Nchimbi awaonya wanaCCM udalali kwa wasaka uongozi

Njombe. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amewataka wanachama na viongozi wa chama hicho kujiepusha kuwa madalali wa watu wanaosaka nafasi za uongozi. Dk Nchimbi amesema kama kuna kitu kinachoweza kukidhoofisha chama hicho tawala ni viongozi kukubali kuwa madalali wa wagombea. “Mtu anayetaka kukufanya uwe dalali tafsiri yake ameshakupima, amegundua unanunulika,…

Read More

Azam FC yasajili beki kutoka Mali

AZAM FC imefikia makubaliano na Akademi ya Yeleen Olympique ya Mali kwa ajili ya kumnunua mchezaji wa kimataifa wa nchi hiyo, Yoro Mamadou Diaby. Mlinzi huyo wa kati ambaye alikuwa kwa mkopo kwenye Klabu ya Stade Malien de Bamako, atajiunga rasmi na Azam FC kuanzia msimu ujao wa 2024/25. Akiwa Stade Malien de Bamako, Yoro…

Read More

 Simbachawene amjibu Mpina | Mwananchi

Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amemshukia mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akimtaka kutodharauliana. Simbachawene amesema hayo leo Aprili 19, 2024 alipojibu hoja za wabunge walizotoa walipochangia bajeti ya ofisi yake kwa mwaka wa fedha 2024/25. Amesema nchi ambayo Mpina anasema imefeli inawezaje kutekeleza…

Read More

Diarra dhidi ya Lakred | Mwanaspoti

WAKATI homa ya pambano la Ligi Kuu Bara kati ya vinara wa ligi, Yanga dhidi ya Simba likizidi kupanda kutakuwa na vita nyingine mpya kwenye eneo la makipa wa timu hizo mbili. Hapana shaka Yanga golini nafasi kubwa itakuwa kwa kipa namba moja, Djigui Diarra ambaye sio mgeni wa mechi hizo akicheza mechi yake ya…

Read More

Watoto wa mitaani wafunguka wanayoyapitia

Arusha. Dharau, lugha za matusi na vipigo vya mara kwa mara wakati mwingine bila kosa, ni baadhi ya madhila wanayokumbana nayo watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani. Ili kuondokana na hilo, wameiomba Serikali kuwakusanya pamoja na kuwapatia elimu ya ujasiriamali, mikopo ya vijana hasa wale waliosogea umri. Wamesema lengo la kuhitaji kupatiwa mtaji ni waweze…

Read More

Kapombe aipiga mkwara mzito Yanga

Beki mkongwe wa Simba, Shomari Kapombe amesema watatumia mchezo wa kesho kurudisha matumaini ya kutwaa taji msimu huu huku akikiri wananafasi kubwa ya kufanya hivyo. Kapombe amesema benchi la ufundi limefanyia kazi maeneo yote lakini matatu ndio yalifanyiwa kazi kwa usahihi zaidi lengo likiwa ni kufikia malengo yao. “Kocha ameangalia makosa kwenye mechi zilizopita amehakikisha…

Read More