Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 82
Habari

Mtoto adaiwa kujinyonga Arusha kisa kuchelewa shule

April 19, 2024 Admin

Arusha. Mwanafunzi wa darasa la saba katika Shule ya Msingi Olomitu iliyoko Chekereni jijini Arusha, Yusuph Zephania (13) anadaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kuogopa adhabu

Read More
Michezo

Mambo 3 yanaibeba Yanga SC

April 19, 2024 Admin

JUMAMOSI ya wiki hii, inapigwa Kariakoo Dabi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Yanga itakuwa mwenyeji wa Simba ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Kuanzia

Read More
Habari

Hizi hapa dalili za changamoto ya afya ya akili kwa mjamzito

April 19, 2024 Admin

Mwanza. Kukosa usingizi wakati wa ujauzito, kujilaumu, kuwaza sana, kula sana na wakati mwingine kutokula kabisa ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuwa dalili za changamoto

Read More
Michezo

Kalaba apata nafuu, aanza kuzungumza, kula

April 19, 2024 Admin

ALIYEKUWA nyota wa  TP Mazembe na timu ya taifa ya Zambia, Rainfold Kalaba  amerejewa na fahamu na sasa anaweza kuzungumza na kula. Akitoa taarifa hiyo

Read More
Habari

Dk Nchimbi awaonya wanaCCM udalali kwa wasaka uongozi

April 19, 2024 Admin

Njombe. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amewataka wanachama na viongozi wa chama hicho kujiepusha kuwa madalali wa watu wanaosaka nafasi

Read More
Michezo

Azam FC yasajili beki kutoka Mali

April 19, 2024 Admin

AZAM FC imefikia makubaliano na Akademi ya Yeleen Olympique ya Mali kwa ajili ya kumnunua mchezaji wa kimataifa wa nchi hiyo, Yoro Mamadou Diaby. Mlinzi

Read More
Habari

 Simbachawene amjibu Mpina | Mwananchi

April 19, 2024 Admin

Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amemshukia mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akimtaka kutodharauliana.

Read More
Michezo

Diarra dhidi ya Lakred | Mwanaspoti

April 19, 2024 Admin

WAKATI homa ya pambano la Ligi Kuu Bara kati ya vinara wa ligi, Yanga dhidi ya Simba likizidi kupanda kutakuwa na vita nyingine mpya kwenye

Read More
Habari

Watoto wa mitaani wafunguka wanayoyapitia

April 19, 2024 Admin

Arusha. Dharau, lugha za matusi na vipigo vya mara kwa mara wakati mwingine bila kosa, ni baadhi ya madhila wanayokumbana nayo watoto wanaoishi na kufanya

Read More
Michezo

Kapombe aipiga mkwara mzito Yanga

April 19, 2024 Admin

Beki mkongwe wa Simba, Shomari Kapombe amesema watatumia mchezo wa kesho kurudisha matumaini ya kutwaa taji msimu huu huku akikiri wananafasi kubwa ya kufanya hivyo.

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 81 82 83 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.