Tanesco kuajiri 430, wamo mafundi mchundo

Dodoma. Bunge limeelezwa kuwa watumishi 430 wataajiriwa na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) katika mwaka 2024/25. Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema hayo leo Ijumaa Aprili 19, 2024 alipojibu swali la mbunge wa Tunduru Kusini, Daimu Mpakate. Mbunge huyo amehoji ni lini Serikali itaajiri madereva na mafundi ambao wamekuwa vibarua wa muda mrefu kwenye…

Read More

10 za Kariakoo Dabi si mchezo!

JUMAMOSI ya wiki hii, kuna Kariakoo Dabi inapigwa kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, Yanga ni wenyeji wa mchezo huo wa Ligi Kuu Bara wakiikaribisha Simba. Hii ni Kariakoo Dabi ya 112 ndani ya Ligi Kuu, huku tukiwa na kumbukumbu ya ile ya mzunguko wa kwanza, waliokuwa wageni, Yanga waliibuka na ushindi mnono wa…

Read More

Kauli ya Serikali ulipaji fidia katika upanuzi wa barabara

Dodoma. Serikali imesema tathmini iliyofanyika nchini inaonyesha gharama kubwa ya fidia ya mali zilizomo ndani ya eneo la hifadhi ya barabara lililoongezwa la mita 7.5 kila upande,  iko katika majiji na miji. Hayo yamesemwa leo Ijumaa Aprili 19, 2024 na Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya alipokuwa akijibu swali la msingi la mbunge wa Kibaha…

Read More

Simba kujichimbia hoteli ya kifahari

SIMBA inatarajia kutua jijini Dar es Salaam leo alasiri, ikitokea Zanzibar ambako iliweka kambi ya siku tatu, kujiandaa na Kariakoo Dabi dhidi ya mtani wake Yanga, itakayopigwa kesho kuanzia saa 11:00 jioni, Uwanja wa Benjamin Mkapa. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa klabu hiyo, zinasema hadi kufikia saa tisa alasiri, watakuwa wamefika mjini na wataweka…

Read More

Dabi ya Aziz KI na Chama

UKISIKIA mwisho wa ubishi ndio huu wakati vigogo vya soka nchini, Simba na Yanga zitavaana katika mechi ya marudiano ya Ligi Kuu Bara. Ndio, kesho kuna Dabi ya Kariakoo itakayopigwa kuanzia saa 11:00 jioni kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam huku kila mmoja ikiwa na kumbukumbu ya mechi iliyopita iliyopigwa Novemba 5…

Read More

Ogolla, CDF wa kwanza kufa madarakani Kenya

Nairobi. Jenerali Francis Omondi Ogolla amekuwa mkuu wa kwanza wa vikosi vya ulinzi nchini Kenya kufariki dunia akiwa madarakani, baada ya ajali ya helikopta iliyoua wanajeshi 10 wa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF). Rais wa Kenya, William Ruto usiku wa Alhamisi Aprili 19, 2024 alithibitisha vifo hivyo, akitangaza siku tatu za maombolezo na bendera…

Read More

Mechi inayofuata baada ya kipigo kikubwa -3

TUNAENDELEA na simulizi zetu za mechi ijayo ya watani wa jadi, Aprili 20 mwaka huu…yaani Jumamosi hii! Hii ni mechi ya kwanza tangu Yanga wawape watani wao Simba kipigo kikubwa cha 5-1, Novemba 5, 2023. Hiki ni moja ya vipigo vikubwa ambavyo vimewahi kutokea kwenye mechi watani. Kupitia makala hizi tunakuletea kumbukumbu ya mechi iliyofuata…

Read More