Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 85
Habari

Tanesco kuajiri 430, wamo mafundi mchundo

April 19, 2024 Admin

Dodoma. Bunge limeelezwa kuwa watumishi 430 wataajiriwa na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) katika mwaka 2024/25. Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema hayo leo

Read More
Michezo

10 za Kariakoo Dabi si mchezo!

April 19, 2024 Admin

JUMAMOSI ya wiki hii, kuna Kariakoo Dabi inapigwa kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, Yanga ni wenyeji wa mchezo huo wa Ligi Kuu Bara

Read More
Habari

Kauli ya Serikali ulipaji fidia katika upanuzi wa barabara

April 19, 2024 Admin

Dodoma. Serikali imesema tathmini iliyofanyika nchini inaonyesha gharama kubwa ya fidia ya mali zilizomo ndani ya eneo la hifadhi ya barabara lililoongezwa la mita 7.5

Read More
Michezo

Simba kujichimbia hoteli ya kifahari

April 19, 2024 Admin

SIMBA inatarajia kutua jijini Dar es Salaam leo alasiri, ikitokea Zanzibar ambako iliweka kambi ya siku tatu, kujiandaa na Kariakoo Dabi dhidi ya mtani wake

Read More
Michezo

Dabi ya Aziz KI na Chama

April 19, 2024 Admin

UKISIKIA mwisho wa ubishi ndio huu wakati vigogo vya soka nchini, Simba na Yanga zitavaana katika mechi ya marudiano ya Ligi Kuu Bara. Ndio, kesho

Read More
Habari

Ogolla, CDF wa kwanza kufa madarakani Kenya

April 19, 2024 Admin

Nairobi. Jenerali Francis Omondi Ogolla amekuwa mkuu wa kwanza wa vikosi vya ulinzi nchini Kenya kufariki dunia akiwa madarakani, baada ya ajali ya helikopta iliyoua

Read More
Habari

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya, yapata kitanda cha upasuaji cha kisasa

April 19, 2024 Admin

Mbeya. Hospital ya Rufaa Kanda ya Mbeya (MZRH) imepokea kitanda cha kisasa cha upasuaji chenye thamani ya Sh37 milioni ambacho kinatumia mifumo ya kidigitali na

Read More
Habari

Jaji Makaramba: Vyombo vya habari ni msingi wa  usalama wa Taifa lolote

April 19, 2024 Admin

Dar es Salaam. Jaji mstaafu, Robert Makaramba amesema kuheshimu na kulinda uhuru wa wanahabari ndiyo msingi wa usalama wa Taifa lolote duniani. Amesema kuminya  uhuru

Read More
Michezo

Mechi inayofuata baada ya kipigo kikubwa -3

April 19, 2024 Admin

TUNAENDELEA na simulizi zetu za mechi ijayo ya watani wa jadi, Aprili 20 mwaka huu…yaani Jumamosi hii! Hii ni mechi ya kwanza tangu Yanga wawape

Read More
Habari

Mbunge adai  Rais mstaafu Zanzibar anaishi kwenye hali ngumu

April 19, 2024 Admin

Dodoma. Mbunge wa Baraza la Wawakilishi, Suleiman Haroub Suleiman amesema Rais mstaafu wa Zanzibar, Dk Salmin Amour Juma anaishi katika hali ngumu baada ya nyumba

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 84 85 86 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.