
Vita iko hapa Kariakoo Dabi
MECHI za watani wa jadi huweza kuamuliwa na uwezo binafsi wa washambuliaji, viungo na mara chache mabeki, lakini mbinu za kocha zinaweza pia kuwa nguzo ya timu kupata matokeo iliyokusudia. Mara kadhaa ustadi binafsi wa wachezaji kama Emmanuel Okwi, Dua Said, Omary Hussein ‘Keegan’, Abeid Mziba ‘Tekero’, Abdallah Kibadeni ‘King Mputa’, Amissi Tambwe, Mohamed Hussein…