
Nabi, Robertinho walivyoitabiri Dabi | Mwanaspoti
JUMAMOSI ni Dabi. Yanga ambayo ndio wenyeji wa mchezo huu,misimu miwili nyuma ilikuwa ikiongozwa na kocha Nasreddine Nabi kabla ya kuja kwa Miguel Gamondi na kuacha rekodi kubwa ya kufika Fainali ya Kombe la Shirikisho msimu uliopita na kutwaa taji la FA na Ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita. Kuelekea katika mtanange huo wa…