Wasomi wa vyuo wapewa mbinu kujipima

Iringa.  Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu, Profesa Joseph Ndunguru, amesema eneo la kwanza la muhitimu wa chuo kikuu analopaswa kujipima ni kutengeneza kitu  kitakachokuwa  suluhisho la changamoto kwenye jamii yake. Amesema swali hilo litawafanya wang’amue kama elimu waliyohitimu ina manufaa kwa jamii inayohitaji majibu ya maswali yao kutoka kwa wasomi….

Read More

Kauli ya Mwenyekiti UVCCM yawasha moto, Jaji Mutungi, Sheikh Ponda, RPC

Mwanza/Kagera. Kauli ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Faris Buruhan ya kulitaka Jeshi la Polisi kutowatafuta vijana wanaotukana viongozi mtandaoni pindi watakapokuwa wamepotezwa, imezuia mjadala baada ya watu kuanza kukumbushia waliopotea kusipojulikana. Aprili 16, 2024, akizungumza na viongozi pamoja na vijana wakati wa ziara yake katika mji mdogo wa Rulenge Ngara mkoani…

Read More

CDF wa Kenya afariki dunia katika ajali ya helkopta

Dar es Salaam. Rais wa Kenya, William Ruto amethibitisha kifo cha Mkuu wa Majeshi ya nchi hiyo (CDF), Jenerali Francis Ogolla aliyefariki dunia katika ajali ya helikopta iliyotokea leo Aprili 18, 2024 eneo la Algeyo katika Kaunti ya Marakwet. Mbali na Jenerali Ogolla, ajali hiyo iliyotokea leo saa 8.20 mchana pia imesababisha vifo vya maofisa…

Read More

Pembe: Simba wasipofunga mlango, zile 5 zinarudi

MSANII wa vichekesho nchini, Yusuph Kaimu ‘Pembe’ amesema pamoja na matumaini waliyonayo mashabiki wa Yanga kushinda, lakini mastaa wanapaswa kuiheshimu Simba kwani mechi ya watani siyo kujihakikishia pointi tatu, japo akaonya: “Simba wasipofunga mlango vizuri zile tano zinarudi.”. Kauli ya msanii huyo inakuja ikiwa imebaki siku moja kushuhuhudia mchezo wa watani wa jadi kati ya…

Read More

Biashara Tanzania na Uturuki kufikia Sh2.58 trilioni

Dar es Salaam. Tanzania na Uturuki zimekubaliana kukuza biashara ya pamoja hadi kufikia Sh2.58 trilioni kutoka Sh890 bilioni iliyopo sasa. Wakati azma hiyo ikiwemo hiyo ikiwekwa, mikataba sita ya makubaliano kati ya nchi hizo mbili imesainiwa ambapo miongoni mwake inalenga kukuza diplomasia ya kiuchumi na elimu ya juu. Hayo yamebainishwa katika mkutano wa pamoja kati…

Read More

Machupa atoa neno Kariakoo Dabi

Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Athuman Machupa, ameizungumzia Kariakoo Dabi ya Aprili 20, anaiona itaamuliwa na ukomavu na mbinu za mastaa na makocha wa klabu hizo kongwe. Machupa ambaye aliichezea Simba kuanzia 1999-2011 amesema kwa uzoefu wake wa kucheza dabi nyingi, matokeo ya mechi hiyo yanakuwa ya kushangaza tofauti na matarajio ya wengi na ndio…

Read More

Ajali za helikopta zinavyomaliza vigogo Kenya

Dar es Salaam. Ajali ya helikopta imeondoa uhai wa Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Francis Ogolla leo Aprili 18, 2024. Mbali na Jenerali Ogolla, ajali hiyo pia imepoteza maofisa tisa, huku wengine wawili wakijeruhiwa. Wengine waliofariki katika ajali hiyo ni Brigedia Swaleh Said, Kanali Duncan Keitany, Luteni Kanali David Sawe, Meja George Benson Magondu…

Read More