Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 89
Michezo

Arajiga wa 5-1 apewa tena Kariakoo Dabi

April 18, 2024 Admin

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imemtangaza Ahmed Arajiga kutoka mkoani Manyara kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Simba na Yanga utakaopigwa, Jumamosi hii

Read More
Habari

Asasi ya Agenda yabainisha madhara ya kemikali zilizopo kwenye Plastiki

April 18, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizojiunga katika kupunguza matumizi ya plastiki kama njia mojawapo ya kutunza na kuhifadhi mazingira. Katika kutekeleza

Read More
Habari

Wananchi wafunguka mauaji ya mwanafunzi wakati akizikwa

April 18, 2024 Admin

Morogoro.  Maziko ya mwanafunzi wa Chuo cha Mtakatifu Joseph aliyeuawa juzi kwa kuchomwa kisu na mtu asiyejulikana akiwa kwenye eneo la hosteli za chuo hicho,

Read More
Michezo

Jangwani kumekucha, Wazee, Mashabiki Yanga wakoleza mzuka ‘Kariakoo Derby’

April 18, 2024 Admin

KATIKA Makao Makuu ya Klabu ya Yanga SC, unaweza kusema hakuna kulala kwani mashabiki na wanachama wa klabu hiyo wameendelea kufanya amsha-amsha kama hamasa ya

Read More
Michezo

Pingamizi Mwakinyo latupiliwa mbali | Mwanaspoti

April 18, 2024 Admin

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana Alhamisi imefanya uamuzi mdogo wa kutupilia mbali pingamizi lililoweka na bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo katika

Read More
Habari

Wananchi wafunguka mauaji ya mwanafunzi wakati akizwa

April 18, 2024 Admin

Morogoro.  Maziko ya mwanafunzi wa Chuo cha Mtakatifu Joseph aliyeuawa juzi kwa kuchomwa kisu na mtu asiyejulikana akiwa kwenye eneo la hosteli za chuo hicho,

Read More
Michezo

Mapacha Singida Black Stars, Singida FG sare kila kitu

April 18, 2024 Admin

LIGI Kuu Bara imeendelea tena leo kwa mchezo mmoja kupigwa ambapo wenyeji Ihefu (Singida Black Stars) wameshindwa katamba kwenye Uwanja wa Liti mjini Singida baada

Read More
Michezo

angwani kumekucha, Wazee, Mashabiki Yanga wakoleza mzuka ‘Kariakoo Derby’

April 18, 2024 Admin

KATIKA Makao Makuu ya Klabu ya Yanga SC, unaweza kusema hakuna kulala kwani mashabiki na wanachama wa klabu hiyo wameendelea kufanya amsha-amsha kama hamasa ya

Read More
Habari

Dk Biteko atoa kauli usalama Bwawa la Julius Nyerere

April 18, 2024 Admin

Dodoma. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema licha mvua zinazoendelea kunyesha nchini, Bwawa la Kuzalisha Umeme la Julius Nyerere (JNHPP)

Read More
Habari

Muuza maji aliwa na mamba ziwani

April 18, 2024 Admin

Mwanza. Muuza maji na mkazi wa Kijiji cha Busisi Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza aliyefahamika kwa jina moja la Charles, anadaiwa katoweka ziwani baada ya

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 88 89 90 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.