‘Mbinu upelelezi kesi za majangili ziimarishwe’

Lushoto. Jaji wa Mahakama ya Rufani,  Dk Paul Kihwelo amehimiza kuimarishwa kwa mbinu za upelelezi wa mashauri ya uhalifu dhidi ya wanyamapori na misitu ili kupata ushahidi utakaowezesha haki itendeke kwa wenye hatia. Jaji Kihwelo ambaye pia ni Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) mkoani Tanga, amesema hayo jana Aprili 29, 2024…

Read More

BODA BODA CHANGAMKIENI ASILIMIA 10 YA MKOPO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu amewahimiza Vijana wanaojishughulisha na Usafirishaji (Boda Boda) kuchangamkia asilimia 10 ya mikopo inayotolewa na Halmashauri zote nchini ili kuongeza tija na uzalishaji katika kazi zao. Mhe Ndejembi ametoa wito huo jijini Arusha wakati akihitimisha Mafunzo ya Usalama na Afya Mahali pa…

Read More

PUMZI YA MOTO: Mkasa wa Pamba FC kushuka daraja 202

HATIMAYE Pamba ya Mwanza imefanikiwa kurudi Ligi Kuu Bara tangu ishuke daraja 2001. Klabu hiyo ambayo sasa inatambulika kama Pamba Jiji, imepanda baada ya ushindi mnono wa 3-1 dhidi ya Mbuni ya Arusha kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini humo. Pamba, klabu yenye rekodi yake barani Afrika inarudi Ligi Kuu baada ya kukaa chini…

Read More

Kupima udhibiti wa mtandao ukitumia zana za OONI

Takribani kila nchi ulimwenguni inakumbana na baadhi ya visa vya udhibiti wa mtandao kinachotofautisha nchi dhidi ya nchi nyingine ni tovuti na viunzi gani vimefungwa, na athari ya kufungwa huko. Wakati wa kura na maandamano ulimwenguni, serikali kila mara uagiza kufungwa kwa mitandao ya kijamii inayotumika sana kama vile WhatsApp,X na Facebook . Katika nchi…

Read More

Che Malone, Inonga yawakuta Simba

Kwa namna Simba ilivyokuwa rahisi kuruhusu mabao msimu huu ndani ya Ligi Kuu Bara, beki wa zamani wa timu hiyo, Boniface Pawasa amesema msimu ujao lazima uamuzi mgumu ufanyike wa kusajili beki mwingine mwenye uwezo wa kuituliza safu hiyo ya ulinzi kwa maana, waliopo wameshindwa kutimiza majukumu yao. Pawasa ambaye alifanya makubwa ndani ya timu…

Read More

SERIKALI INATAFITI MIKARATUSI KUHARIBU MAZINGIRA

Serikali kupitia Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) inaendelea na utafiti wa kina wa miti aina ya mikaratusi kuhusu athari zake kimazingira na kuja na taarifa ya kitaalamu pamoja na ushauri. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis ameriarifu Bunge wakati akijibu swali la Mbunge wa Hai…

Read More

Msala wa kwanza wa Mgunda Ligi Kuu

Siku moja baada ya kuachana na kocha wake Abdelhak Benchikha Simba inarudi uwanja  kwenye uwanja mgumu ugenini itakapokutana na wabishi Namungo ya Lindi. Simba baada ya kuondokewa na Benchikha aliyerusha taulo kwa sababu za kifamilia akiachana na timu hiyo, leo kikosi chao kitakuwa chini ya kocha wa Juma Mgunda ambaye atasaidiana na Seleman Matola. Matola…

Read More

EMPOWERING PROGRESS, HOW IDA FUNDS ARE TRANSFORMING DEVELOPING NATIONS.

The International Development Association (IDA) has been empowering nations and transforming lives since its establishment in 1960. Through grants and low-interest loans, IDA has supported 75 developing countries. 1. Empowering Developing Nations. The International Development Association (IDA) is a key component of the World Bank, committed to supporting developing countries. Established on September 24, 1960,…

Read More