
Wizara yataka wanawake kugombea kwa wingi uchaguzi ujao
Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Mwanaidi Ali Khamis amewataka wanawake kujitokeza kwa wingi kuwania uongozi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani ili kufanikisha malengo ya kuwa na usawa wa kijinsia katika nafasi za uongozi. Tanzania ambayo kwa sasa inaongozwa na Rais mwanamke…