Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2024

  • Home
  • 2024
  • April
  • Page 92
Habari

Mshitakiwa akana maelezo yake, adai hajui kilichomuua mkewe

April 18, 2024 Admin

Geita. Mshtakiwa Bahati Shija anayekabiliwa na shitaka la kumuua mkewe, Grace Daud kwa kumpiga na chuma kichwani ya  kukataa kurudiana naye, ameiambia Mahakama hajui sababu

Read More
Michezo

Ukiwa na macho ZPL marufuku

April 18, 2024 Admin

UNGUJA. BODI ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPLB) kupitia kwa Mtendaji Mkuu, Issa Kassim ameliambia Mwanaspoti hawatamruhusu kucheza mechi mchezaji yeyote atakayebainika kuwa na tatizo la

Read More
Habari

Serikali yaweka wazi juu uraia pacha

April 18, 2024 Admin

Ramadhan Hassan,Dodoma SERIKALI imesema haipo tayari kutumia uraia pacha ila hivi karibuni itaanza kutumia utaratibu wa hadhi maalum ambao utatoa fursa kwa wenye asili ya

Read More
Habari

Msigwa akabidhiwa fomu, asema hana nia kugombea uongozi Chadema Taifa

April 18, 2024 Admin

Iringa. Hatimaye mgombea wa nafasi ya uenyekiti Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa amekabidhiwa fomu ya kuwania nafasi hiyo. Wanawake wa Chadema Mkoa wa Iringa

Read More
Michezo

Simba, MO Dewji hakuna anayemlinda mwenzake

April 18, 2024 Admin

Penzi lililo imara ni lile ambalo kila mmoja anawajibika kwa mwenzake na kumlinda iwe katika nyakati za shida na raha. Walio katika penzi imara wanacheka

Read More
Habari

Namna makachero walivyomdaka mwizi wa bastola

April 18, 2024 Admin

Moshi. Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Benedicto Petro aliyeongoza timu ya makachero kuwakamata washtakiwa wa kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha, ameeleza namna walivyomkamata mshtakiwa wa

Read More
Michezo

Ninja ile ishu ya Fei Toto, nilipakaziwa tu!

April 18, 2024 Admin

BEKI wa Lubumbashi Sport ya DR Congo, Mtanzania Abdallah Shaibu ‘Ninja’ kuna jambo amejifunza kutokana na kupata nafasi ya kucheza nje kwa awamu mbili tofauti,

Read More
Habari

Waziri asimulia alivyosaidiwa kusomeshwa na Sokoine

April 18, 2024 Admin

Arusha. “Siku zote nimekuwa nikiamini huyu baba mzalendo wa kweli amekuwa na dhamana kubwa katika maisha yangu, naona Mungu alimtuma ninyanyuke katika familia yetu ya

Read More
Michezo

Mabondia wanaomiliki ndinga zao | Mwanaspoti

April 18, 2024 Admin

ZAMANI mabondia wengi wa Bongo walikuwa wanapanda daladala au kukodisha magari kwa ajili ya kufika katika maeneo mengine kabla ya kuibuka kwa uwepo wa pikipiki

Read More
Habari

Rais Dk. Samia atunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima nchini Uturuki

April 18, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Chuo Kikuu cha Ankara cha nchini Uturuki, kimemtunuku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Shahada

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 91 92 93 … 96 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.