Hivi ndivyo Tanzania inavyoweza kukabili athari za mafuriko

Dar es Salaam. Uwepo wa utashi wa kisiasa, matumizi ya sayansi kupewa nafasi na kubainishwa kwa maeneo hatarishi ni miongoni mwa hatua zilizopendekezwa na wanazuoni kukabiliana na athari za mafuriko Tanzania. Mapendekezo ya wanazuoni yametolewa katika kipindi ambacho maeneo mbalimbali nchini yanakabiliwa na athari za mafuriko ambayo hadi sasa yameondoa uhai wa watu takribani 58…

Read More

NJE YA BOKSI: Mapambano haya yaliwaletea neema

NEVADA, MAREKANI: Kazi kazi. Mchezo wa ngumi ni moja ya michezo inayolipa pesa ndefu kwa mabondia kupanda ulingoni. Haijalishi bondia atapigana kwa muda gani. Wapo wanaopanda na kushuka kwa maana ndani ya sekunde chache tu wameshakalishwa, lakini hilo haliwazuiii kuchota chao. Malipo kama kawa. Ni moja ya michezo ambayo uhakika wa pesa ni nje nje….

Read More

Chanzo ongezeko la vifo, ajali za barabarani Zanzibar

Unguja. Uchumi wa nchi yoyote unategemea zaidi miundombinu bora, kurahisisha usafiri na usafirishaji. Miongoni mwa miundombinu hiyo ni ya barabara nzuri, imara zenye alama kwa kujali watumiaji wote. Zanzibar licha ya kuwa na miundombinu ya barabara, bado ina safari ndefu ya kuziwezesha kuwa na sifa hiyo. Kuna mambo yanaonekana kama madogo lakini athari yake ni…

Read More

Prince Dube, Azam sasa kumekucha TFF

Picha la Azam FC na Prince Dube limeanza upya na kuanzia kesho yatafichuka mengi pande hizo mbili zitakapokutana uso kwa uso kwa mara nyingine. Mwanaspoti awali liliripoti kwamba Prince Dube ameukana mkataba wake na Azam FC unaomalizika 2026 na akaondoka Chamanzi. Staa huyo alikwenda kushtaki kwenye Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) na kesi yake…

Read More

WANAWAKE VIONGOZI WAHIMIZWA KUTUMIA MITANDAO KWA TIJA KUWALETEA MAENDELEO – MWANAHARAKATI MZALENDO

NA EMMANUEL MBATILO, MOROGORO   WANAWAKE viongozi na vijana wanasiasa wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa tija kwa lengo la kupeana taarifa na kuondokana na matumizi mabaya yenye kuleta athari hasi kwa vijana wakike wanaotarajia kuwa viongozi wa baadae.   Wito huo umetolewa Aprili 16,2024 mkoani Morogoro na Katibu Tawala wa Wilaya ya Morogoro Ruth…

Read More

Majaliwa aagiza mrejesho wa michango ya maafa kwa jamii

Dodoma. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewaagiza wakuu wa mikoa  na wilaya kutekeleza wajibu wao wa kutoa mrejesho kwa jamii juu ya michango, kazi zilizofanyika na kiasi cha fedha kilichotumika katika maafa pindi yanapojitokeza. Majaliwa amesema hayo leo Alhamisi Aprili 18, 2024 wakati akijibu swali la papo kwa hapo kwa Mbunge wa viti maalumu…

Read More

Raska Zone hesabu kali wakiitisha KVZ

WAKATI Raska Zone ikianza mazoezi kujiandaa na Ligi Daraja la Kwanza Kanda ya Unguja, mastaa wametamba kurejea uwanjani kwa nguvu mpya kutafuta kupanda Ligi Kuu msimu ujao. Timu hiyo imekuwa na matokeo mazuri ikianza kufuzu 16 bora ya Kombe la Shirikisho, ipo nafasi ya pili kwa pointi 27 kwenye Ligi Daraja la Kwanza ikiachwa alama…

Read More

SERIKALI YABAINISHA MPANGO WA KUWASAIDIA WAJASIRIAMALI KUZALISHA BIDHAA BORA – MWANAHARAKATI MZALENDO

NAIBU Waziri wa Viwanda na Biasha, Exaud Kigahe amebainisha mpango wa Serikali katika kuwasaidia wajasiriamali kuzalisha bidhaa bora ili kupata masoko ya uhakika. Akijibu swali la msingi la Mbunge wa Viti Maalum, Ester Malleko ambaye alitaka kujua mpango wa Serikali wa kuwasaidia wajasiriamali kuzalisha bidhaa bora na kupata masoko ya uhakika. Akijibu swalin hilo, Kigahe…

Read More