BAJETI YA TAMISEMI YAWAPA MATUMAINI WANAHARAKATI WA JINSIA – MWANAHARAKATI MZALENDO
ONGEZEKO la fedha shilingi Trilioni 10 kwenye bajeti ya Wizara ya Tamisemi imeibua matumaini kwa Wanaharakati wa masuala ya kijinsia ambapo wanatarajia itakwenda kutoa chachu ya kuinua ushiriki wa wanawake katika masuala ya uongozi na kuwaepusha na vitendo vya ukatili, unyanyasaji na kuwaondolea mazingira magumu wakati wa uchaguzi. Hayo yamesemwa leo April 17,2024 katika Semina…