BAJETI YA TAMISEMI YAWAPA MATUMAINI WANAHARAKATI WA JINSIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

ONGEZEKO la fedha shilingi Trilioni 10 kwenye bajeti ya Wizara ya Tamisemi imeibua matumaini kwa Wanaharakati wa masuala ya kijinsia ambapo wanatarajia itakwenda kutoa chachu ya kuinua ushiriki wa wanawake katika masuala ya uongozi na kuwaepusha na vitendo vya ukatili, unyanyasaji na kuwaondolea mazingira magumu wakati wa uchaguzi. Hayo yamesemwa leo April 17,2024 katika Semina…

Read More

Muhimbili yapokea mashine ya uchunguzi saratani ya matiti

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Hospitali ya Taifa Muhimbili(MNH) imepokea mashine maalumu Mammography aina ya Senographe Pristina 3D yenye thamani ya milioni 800 kwa ajili ya kufanya uchuguzi wa saratani ya matiti. Pia machine hiyo itatumika katika kuwafundishia wataalam na kufanya tafiti mbalimbali. Akizungumza katika hafla ya kupokea mashine hiyo leo Aprili 17, 2024 Dk.Hamad…

Read More

Mwanafunzi wa Chuo cha Mtakatifu Joseph kuzikwa leo

Morogoro.  Mwanafunzi  Hajirath Shaban aliyeuawa kwa kuchomwa kisu na watu wasiojulikana usiku wa Aprili 16 alipokuwa hosteli, anatarajia kuzikwa leo Aprili 18, 2024 kwenye makaburi ya Kola Manispaa ya Morogoro. Mwanafunzi huyo aliyekuwa akisoma Chuo cha Mtakatifu Joseph kilichopo Manispaa ya Morogoro, aliuawa baada ya kuvamiwa akiwa hosteli za chuo hicho zilizopo Mkundi, Aprili 16,…

Read More

    Mwamuzi wa Dabi huyu hapa!

    PRESHA ya mchezo wa ‘Kariakoo Derby’ kwa mashabiki wa Yanga na Simba nchini tayari imeanza kupanda wakati zikibakia siku mbili tu kwa miamba hiyo kushuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jumamosi hii ya Aprili 20 kuisaka heshima baina yao, huku jina la mwamuzi wa pambano hilo likiifikia Mwanaspoti. Wakati mchezo huo ukisubiriwa kwa hamu taarifa…

    Read More

    Walimu wa kujitolea waula Dar

    Na Nora Damian, Mtanzania Digital Walimu 150 wa masomo ya sayansi waliokuwa wakijitolea katika shule mbalimbali za sekondari za Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wamepewa ajira za mkataba kukabili upungufu uliopo. Juni 2023 Serikali kupitia Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia ilitoa mwongozo unaoelekeza kuwatumia walimu waliohitimu vyuo ambao bado hawajaajiriwa ili kuboresha…

    Read More

    Takukuru Geita yabaini kasoro kwenye miradi 1,800

    Geita. Miradi 1,800 yenye thamani ya Sh7 bilioni iliyofuatiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Geita mwaka 2022/23 imebainika kuwa na kasoro zikiwamo za usanifu, ununuzi na baadhi ya fedha za miradi kuhamishiwa kwenye matumizi yasiyohusiana na mradi husika. Hayo yamebainishwa leo Aprili 18, 2024 kwenye kongamano maalumu linaloendelea mjini Geita…

    Read More

      Dube kaingia anacheka, katoka amenuna TFF

      MSHAMBULIAJI wa Kimataifa kutoka Zimbabwe, Prince Dube aliyeonekana kuwa na tabasamu usoni shauri lake dhidi ya waajiri wake limesikilizwa leo, Alhamisi na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) jijini Dar es Salaam kwa muda wa saa mbili na dakika tatu. Kamati ya Sheria na hadhi za wachezaji ya…

      Read More