WATU 200 WAPIMA AFYA NA GGML KATIKA MAONESHO YA OSHA

Na Mwandishi Wetu, Arusha WATU zaidi ya 200 jijini Arusha wamejitokeza kupimwa afya na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) na kati yao kubainika kuwa wana tatizo la uzito uliopitiliza. Pia kati ya watu hao hakuna aliyebainika kuwa na maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU), lakini mmoja amekutwa na dalili zote za kifua kifuu…

Read More

Sababu za wajawazito kuvimba uso, miguu hizi hapa

Dar es Salaam. Miongoni mwa mambo yanayojitokeza kwa baadhi ya wajawazito katika kipindi cha miezi minne mpaka tisa, ni kuvimba pua, uso na wengine miguu. Catherine Malya ni miongoni mwa wanawake waliobadilika mwonekano katika kipindi cha ujauzito wake. “Nilivimba mwili mzima, pua ilikuwa kubwa, mdomo na uso vyote vilivimba, nilibadilika sana. Kitu pekee mume wangu…

Read More

PICHA

Na.Alex Sonna-KIGOMA Zaidi ya wananchi 300,000 wamenufaika na mbegu za kisasa za mchikichi zinazozalishwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika Kikosi cha 821 Bulombora mkoani Kigoma. Mwenyekiti  wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena  ameyasema hayo  wakati wa ziara yake ya kukagua…

Read More

Wabunge wataka hatua za ziada kudhibiti tembo

Dodoma. Wabunge wametaka mikakati ya ziada kukabiliana na tembo wanaovamia maeneo ya makazi, ikiwamo kuwavuna wanyama hao. Hatua hiyo ilitokana na maelekezo yaliyotolewa na Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson baada ya mbunge wa Mbarali, Bahati Ndingo kutoa hoja bungeni kuhusu wanyama hao Aprili 30, 2024. Mbunge huyo amesema tembo waliingia katika makazi ya watu…

Read More

Wababe wa Simba na Yanga katikati ya mtego

AL Ahly ya Misri itabeba tena? Hilo ndilo swali  lililopo vichwani mwa mashabiki na wapenzi wa soka Afrika kwa sasa, wakati wakisubiri mechi mbili za fainali za michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mechi hizo zitakazopigwa kati ya Mei 18 na 25 mwaka huu itakutanisha watetezi hao wanaoshikilia taji la 11 dhidi ya mabingwa mara…

Read More

Licha ya ongezeko la fedha, mambo bado Wizara ya Kilimo

Dodoma. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, imesema pamoja na Serikali kuendelea kuongeza bajeti ya kilimo, bado haikidhi mahitaji halisi ya sekta hiyo kwa kuzingatia matakwa ya utekelezaji wa Azimio la Maputo (2003) na Malabo (2014) linalozitaka nchi wanachama kutenga asilimia 10 ya bajeti ya Taifa kwa ajili ya sekta…

Read More