Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 3, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 3
Habari

MAWAZIRI EAC WAAZIMIA KUONGEZA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA AFYA

May 3, 2024 Admin

Mawaziri wanaosimamia Sekta ya Afya katika Nchi Wanachama wa Jumuiya Afrika Mashariki wameweka mikakati na kukubaliana kuongeza ushirikiano zaidi katika kuboresha utoaji wa huduma katika

Read More
Habari

LIGI MBALIMBALI ZA PESA KUENDELEA LEO

May 3, 2024 Admin

IJUMAA ya leo ambapo mechi mbalimbali zinaendelea Duniani Meridianbet tayari wamekuwekea ODDDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000. Ingia meridianbet na usuke mkeka wako

Read More
Habari

ACT yachambua bajeti kilimo, yatoa mapendekezo

May 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Chama cha ACT- Wazalendo kimetoa mapendekezo mbalimbali kwa Serikali ya Tanzania ili kuboresha sekta ya kilimo ikiwemo kuweka mfumo wa kodi unaoeleweka

Read More
Habari

Matukio ya ubakaji yazidi kutikisa Mwanza

May 3, 2024 Admin

Mwanza. Kutokana na hali kuendelea kuwa mbaya ya ukatili wa kijinsia nchini, imeelezwa kuna haja ya kuendelea kutoa elimu ya kina kwa wananchi ya namna

Read More
Magazeti

Ndugu, majirani aliyempondaponda nyeti mtoto wa mkewe wafurahia hukumu

May 3, 2024 Admin

Morogoro. Siku moja baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro kumhukumu kifungo cha miaka 30 jela Mohamed Salange (37) kwa kosa la kumfanyia ukatili mtoto

Read More
Habari

Hapi: Wananchi hawaiamini CCM kwa mavazi, nyimbo bali inavyoshughulikia kero zao

May 3, 2024 Admin

Iringa. Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi wa Chama cha Mapinduzi, Ali Hapi amesema kuwa imani ya wananchi kwa CCM, haitokani na mavazi wala nyimbo,

Read More
Habari

TBS YAWATAKA WAFANYABIASHARA WA VIPODOZI KUSAJILI BIDHAA HIZO

May 3, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wafanyabishara wa bidhaa za vipodozi kuhakikisha wanasajili bidhaa zao , kuthibitisha ubora wake pamoja

Read More
Habari

Tanzania yapaa viwango uhuru wa habari, sera umiliki kutazamwa

May 3, 2024 Admin

Dodoma. Serikali imesema ipo kwenye mchakato wa kuifanyia mapitio sera ya habari na utangazaji ili kuona namna ya kubadilisha sheria ya umiliki wa vyombo vya

Read More
Habari

Watuhumiwa kulinda bangi wanazolima kwa ‘bunduki’

May 3, 2024 Admin

Dodoma. Mamlaka ya Kuthibiti na Kupambana na Dawa ya Kulevya (DCEA), imewakamata watu 18 kwa kuhusika na kilimo cha bangi huku wawili kati yao wakikamatwa

Read More
Habari

BALOZI DKT NCHIMBI; KAZI KUBWA ZA SAMIA ZINAIPA CCM UJASIRI

May 3, 2024 Admin

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi, amesema kazi kubwa inayofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.

Read More

Posts pagination

1 2 … 11 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.