Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 4, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 4
Habari

Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART

May 4, 2024 Admin

*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji Na Chalila Kibuda, Michuzi TV Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa maelekezo wanayotoa kwa

Read More
Habari

RC MAKONDA ATANGAZA WIKI YA HAKI ARUSHA

May 4, 2024 Admin

Makonda akizungumza na waandishi wa habari Leo. Mei 3/4/2024 amewaalika wananchi kuleta kero mbalimbali ikiwemo kudhulumiwa au kunyanyaswa kijinsia Na. Vero Ignatus,Arusha Mkuu wa Mkoa

Read More
Michezo

Ramadhani Brothers wazifikisha tuzo na picha ya Rais kilele cha mlima Kilimanjaro

May 4, 2024 Admin

MABINGWA na washindi wa America’s Got Talent 2024 (AGT), Ramadhani Brothers, wamefanikiwa kufika leo Jumamosi, Mei 4,2024 katika kilele cha Mlima Kilimanjaro wakiwa na tuzo,

Read More
Habari

RC ANDENGENYE ATAKA VIJANA WALIOHITIMU MAFUNZO JKT KUTUMIA UJUZI WALIOPATA KUJIAJIRI

May 4, 2024 Admin

MKUU wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye,akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kufunga mafunzo ya awali ya kijeshi kwa vijana wa Kujitolea ‘Operesheni ya Miaka

Read More
Michezo

KMC,Kagera sUgar hakuna mbabe | Mwanaspoti

May 4, 2024 Admin

Mchezo kati ya KMC dhidi ya Kagera Sugar umemalizika Uwanja wa Azam Complex timu hizo zikiwa hazijafungana, Licha ya mashambulizi makali ya timu zote bado

Read More
Habari

RC Mtaka amjia juu afisa kilimo kwa kushindwa kusimamia mradi

May 4, 2024 Admin

Mkuu wa mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amewaagiza wataalamu wa serikali kushirikiana na taasisi binafsi zinazotekeleza miradi mkoani humo kutekeleza miradi yao kwa ufanisi na

Read More
Michezo

Serikali kukarabati uwanja wa Jamhuri, Morogoro

May 4, 2024 Admin

Waziri wa Sanaa Utamaduni na Michezo, Dk Damas Ndumbaro amesema kuelekea mashindano ya Afcon 2027, ambayo yanatarajiwa kufanyika kwa ushirikiano wa nchi tatu za Tanzania,

Read More
Habari

ASKOFU MABOYA AHIMIZA HAKI KATIKA KUWATUMIKIA WATANZANIA.

May 4, 2024 Admin

Askofu Mkuu wa Kanisa la Calvary Assemblies of God, Mtume Dkt. Dunstan Maboya akiambatana na Viongozi wengine wa kanisa hilo wameongoza maombi Maalum ya kumuombea

Read More
Michezo

Serikali kuukarabati uwanja wa Jamhuri, Morogoro

May 4, 2024 Admin

Waziri wa Sanaa Utamaduni na Michezo, Dk Damas Ndumbaro amesema kuelekea mashindano ya Afcon 2027, ambayo yanatarajiwa kufanyika kwa ushirikiano wa nchi tatu za Tanzania,

Read More
Habari

Ni mkesha wa nderemo, vifijo ikisubiriwa ACT- Wazalendo izaliwe

May 4, 2024 Admin

Kigoma. Ni usiku wa fahari kwa wafuasi, wanachama na wadau wa Chama cha ACT – Wazalendo, wanapokesha kusubiri mabadiliko ya siku ifikie ile kilipozaliwa chama

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.