Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART

*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji Na Chalila Kibuda, Michuzi TV Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa maelekezo wanayotoa kwa Wakala wa Mabasi yaendayo (Haraka) yanafanyiwa kazi. Hayo ameyasema Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Justin Nyamoga wakati Kamati hiyo ilipotembelea Miradi ya Mabasi yaendayo Haraka jijini Dar es Salaam amesema…

Read More

RC MAKONDA ATANGAZA WIKI YA HAKI ARUSHA

Makonda akizungumza na waandishi wa habari Leo. Mei 3/4/2024 amewaalika wananchi kuleta kero mbalimbali ikiwemo kudhulumiwa au kunyanyaswa kijinsia Na. Vero Ignatus,Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda ametangaza wiki ya Haki mkoani hapa huku akiwataka wananchi kama yupo aliyedhulumiwa au kufanyiwa ukatili Kufika ofisi ni kwake siku ya Jumatano Akizungumza na wanahabari…

Read More

KMC,Kagera sUgar hakuna mbabe | Mwanaspoti

Mchezo kati ya KMC dhidi ya Kagera Sugar umemalizika Uwanja wa Azam Complex timu hizo zikiwa hazijafungana, Licha ya mashambulizi makali ya timu zote bado safu za washambuliaji kwa timu zote hazikuweza kutikisa nyavu na kuifanya mechi hiyo kumalizika kwa suluhu hiyo. Matokeo hayo yameongeza alama moja kwa kila timu lakini hayakubadilisha nafasi ya timu…

Read More

RC Mtaka amjia juu afisa kilimo kwa kushindwa kusimamia mradi

Mkuu wa mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amewaagiza wataalamu wa serikali kushirikiana na taasisi binafsi zinazotekeleza miradi mkoani humo kutekeleza miradi yao kwa ufanisi na kupata matokeo chanya kutokana na fedha nyingi wanazotumia kwenye utekelezaji wa miradi hiyo. Mtaka ametoa maagizo hayo wilayani Wanging’ombe baada ya kushindwa kuridhishwa na kazi anayoifanya afisa kilimo wa kata…

Read More

Serikali kukarabati uwanja wa Jamhuri, Morogoro

Waziri wa Sanaa Utamaduni na Michezo, Dk Damas Ndumbaro amesema kuelekea mashindano ya Afcon 2027, ambayo yanatarajiwa kufanyika kwa ushirikiano wa nchi tatu za Tanzania, Kenya na Uganda serikali itaufanyia ukarabati Uwanja wa Jamhuri ili uweze kutumika.kwa mazoezi kuelekea mashindano hayo. Akizungumza na Mwanaspoti Waziri Ndumbaro amesema serikali imeamua kuja na mbinu mbadala ya kuwa…

Read More

ASKOFU MABOYA AHIMIZA HAKI KATIKA KUWATUMIKIA WATANZANIA.

Askofu Mkuu wa Kanisa la Calvary Assemblies of God, Mtume Dkt. Dunstan Maboya akiambatana na Viongozi wengine wa kanisa hilo wameongoza maombi Maalum ya kumuombea Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda na kuwatakia mafanikio mema kwenye kuwatumikia wananchi. Askofu Dkt….

Read More

Serikali kuukarabati uwanja wa Jamhuri, Morogoro

Waziri wa Sanaa Utamaduni na Michezo, Dk Damas Ndumbaro amesema kuelekea mashindano ya Afcon 2027, ambayo yanatarajiwa kufanyika kwa ushirikiano wa nchi tatu za Tanzania, Kenya na Uganda serikali itaufanyia ukarabati Uwanja wa Jamhuri ili uweze kutumika.kwa mazoezi kuelekea mashindano hayo. Akizungumza na Mwanaspoti Waziri Ndumbaro amesema serikali imeamua kuja na mbinu mbadala ya kuwa…

Read More