Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 6, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 6
Habari

JUMUIYA YA WAZAZI IKUNGI YAPOKEA VIFAA VYA UJENZI KUTOKA KWA MISANGA.

May 6, 2024 Admin

  Mjumbe kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Singida Ndg Ahmed Misanga ambae pia ni mratibu wa shughuli za wazazi ikungi ametoa Vifaa

Read More
Habari

Mashekhe Arusha Wakoshwa na Ujio wa Makonda Arusha.

May 6, 2024 Admin

Na Jane Edward, Arusha Sheikh Hussein Said Junje, Sheikh wa Wilaya ya Arusha Mjini amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu

Read More
Habari

RAIS SAMIA AAGIZA HUDUMA ZA DHARURA MAENEO YALIYOATHIRIWA NA KIMBUNGA HIDAYA

May 6, 2024 Admin

RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan ameagiza huduma za dharura zipelekwe kwenye maeneo yaliyopata athari kutokana na kimbunga Hidaya. Hayo yamesemwa leo (Mei 6, 2024) na

Read More
Habari

Majaliwa ataka wateule wa Rais kusimamia haki

May 6, 2024 Admin

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  amewataka wakuu wa mikoa kuyasimamia na kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Haki Jinai. Aidha,  amesisitiza kwamba ni

Read More
Habari

BASHUNGWA APIGA KAMBI LINDI, KUHAKIKISHA BARABARA YA DAR – LINDI INAPITIKA NDANI YA SAA 72.

May 6, 2024 Admin

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewatoa hofu na kuwahakikishia wananchi, wasafiri na wasafirishaji kuwa ameweka kambi Mkoa wa Lindi kuhakikisha anasimamia timu ya watalaamu wa

Read More
Habari

Ma- DED wanolewa kuhusu uchaguzi, rushwa na mikopo

May 6, 2024 Admin

Kibaha. Wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa nchini kote leo Mei 6, 2024, wameanza mafunzo ya siku tatu yenye lengo la kuwaongezea mbinu za

Read More
Habari

Jengo la makao makuu Benki ya CDRB lapewa cheti cha kimataifa cha kutunza mazingira

May 6, 2024 Admin

  Dar es Salaam. Tarehe 6 Mei 2024: Benki ya CRDB imeandika historia nyingine kwa kupokea cheti cha kimataifa cha masuala ya mazingira baada ya

Read More
Habari

Wajitokeza kuongeza nguvu matumizi gesi asilia

May 6, 2024 Admin

Dar es Salaam. Katika jitihada za kuongeza matumizi ya nishati safi katika shughuli mbalimbali, wadau mazingira wamekuja na njia tofauti za kuhakikisha watu wanahama katika

Read More
Habari

Watoto wanene kupita kiasi waanza kupungua

May 6, 2024 Admin

Dodoma. Ni matumaini makubwa kwa familia ya Joseph Kalenga na mkewe Vumilia Elisha baada ya watoto wao Imani (7) na Gloria Joseph (4) waliokuwa na

Read More
Habari

Reli tatu kufungamanishwa Tanzania, gharama usafirishaji kupungua

May 6, 2024 Admin

Dodoma. Kilio cha gharama za usafirishaji wa mizigo, mfumuko wa bei na uharibifu wa barabara nchini, Serikali imevipatia ufumbuzi kwa kufungamanisha reli zote tatu za

Read More

Posts pagination

1 2 … 10 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.