Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 7, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 7
Habari

Asilimia 12 ya Watanzania wana maradhi ya pumu

May 7, 2024 Admin

Dar es Salaam. Zaidi ya Watanzania 7,200,000, sawa na asilimia 12, wanaugua ugonjwa wa pumu unaoathiri mfumo wa upumuaji, huku wengi wao wakiwa ni watoto

Read More
Habari

WAZIRI MAKAMBA AZUNGUMZA NA BALOZI WA SWITZERLAND NCHINI

May 7, 2024 Admin

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba (Mb.) amekutana na kuzungumza na Balozi wa Switzerland nchini Mhe. Didier Chassot

Read More
Habari

Madaktari bingwa 15 kutua Mbeya, kuchunguza saratani kwa wanawake

May 7, 2024 Admin

Mbeya. Madaktari bingwa 15 wanatarajiwa kuwafanyia uchunguzi wa saratani wanawake zaidi ya 1,000 jijini hapa wakati wa Tamasha la ‘Usiku wa Mama’ litakalofanyika Mei 14,

Read More
Habari

Timu ya madaktari bingwa wa Dkt.Samia waanza kutoa huduma za kibingwa mkoani Njombe

May 7, 2024 Admin

Timu ya madaktari bingwa 30 waliowasili mkoani Njombe wameanza kutoa huduma katika hospitali za wilaya zote mkoani humo huku wito ukitolewa kwa wananchi kujitokeza kupata

Read More
Habari

Mtu asiyefahamika amshambulia na kumjeruhi mtoto mwenye ualbino

May 7, 2024 Admin

Geita. Mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino) mwenye umri wa miaka 10 anayesoma darasa la nne Shule ya Msingi Maalumu Katoro mkoani Geita, amenusurika kufa

Read More
Habari

TANZANIA NA CHINA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI

May 7, 2024 Admin

Serikali ya Tanzania na China zimesisitiza kuimarisha ushirikiano wa kimkakati ili kuendelea kutekeleza diplomasia ya uchumi kwa maslahi ya pande zote mbili. Msisitizo huo umetolewa

Read More
Habari

VIDEO: CCM yakoleza moto wa fedha chafu Chadema

May 7, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ikiwa imepita takribani wiki moja tangu Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu kudai kuna fedha zimemwagwa kuvuruga uchaguzi wa ndani ya

Read More
Habari

Waliokwama Lindi watia shaka saa 72 za Bashungwa, yeye asisitiza lazima iishe

May 7, 2024 Admin

Kilwa. Wakati saa 72 zilizotolewa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa kwa Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) kukamilisha ujenzi huo zikikamilika, uwezekano kazi hiyo kukamilika

Read More
Habari

PIGA PESA NA MECHI ZA UEFA

May 7, 2024 Admin

HATIMAYE leo hii ndio kitaeleweka nani aende Nusu Fainali na nani arudi nyumbani kwenye ligi za mabingwa ambapo leo na kesho kitawaka vilivyo yaani ni

Read More
Habari

Mvua zazamisha kisiwa Musoma, Serikali yahamishia wakazi kisiwa jirani

May 7, 2024 Admin

Musoma. Kisiwa cha Nyasahungu kilichopo ndani ya Ziwa Victoria wilayani Musoma, Mkoa wa Mara kimezama baada ya maji kuongezeka ndani ya ziwa hilo. Kisiwa hicho

Read More

Posts pagination

1 2 … 9 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.