Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 8, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 8
Habari

Wakili wa kujitegemea Oscar Ngole akutwa amefariki dunia nyumbani kwake Moshi

May 8, 2024 Admin

Moshi. Wakili wa kujitegemea Mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro, Oscar Ngole amekutwa amefariki dunia nyumbani kwake Soweto. Omega Ngole, kaka wa marehemu Oscar (42) amethibithisha kifo

Read More
Habari

Cheza Sloti ya Bounty Hunters Safari ya Msituni Kusaka Madini

May 8, 2024 Admin

*Furahia Mavuno na Bounty Hunter Kasino ya Mtandaoni. CONGO DR inasifika sana kwa wingi wa madini ya dhahabu, tangu miaka ile inaitwa Zaire ya Kina

Read More
Michezo

Simu ya Mudathir yapatikana Chamazi, Yanga bado tano tu

May 8, 2024 Admin

LICHA ya nidhamu bora ya uzuiaji kwa Kagera Sugar ila imeshindwa kuizuia Yanga hadi dakika za mwisho baada ya kufungwa bao 1-0, katika mchezo wa

Read More
Habari

Wadau wataja mbinu kukabili mafuriko, uharibifu miundombinu

May 8, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati mvua zinazonyesha maeneo mbalimbali nchini zikiendelea kuleta athari za kiuchumi na kukwamisha baadhi ya shughuli hasa usafirishaji, wadau wameshauri mbinu zinazoweza

Read More
Habari

MWENGE WA UHURU WAMULIKA MATUMIZI YA MFUMO WA NeST NA KUONGEZA UELEWA

May 8, 2024 Admin

Meneja wa Kanda ya Pwani , Vicky Mollel akipokea Mwenge wa Uhuru wakati wa mapokezi ya Mwenge Jijini Dar Es Salaam. Mwenge wa Uhuru utakimbizwa

Read More
Michezo

Mashujaa yalipa kisasi, yaandika rekodi

May 8, 2024 Admin

MASHUJAA FC wamefanikiwa kulipa kisasi mbele ya KMC FC baada ya leo kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa

Read More
Habari

Maprofesa janga, wabunge wachambua hali halisi vyuo vikuu

May 8, 2024 Admin

Dodoma. Wabunge wametema nyongo kuhusu mustakabali wa elimu nchini, akiwamo mmoja aliyeonyesha wasiwasi wa ubora wa elimu, kwa vyuo vikuu kuwa na uhaba wa wahadhiri

Read More
Habari

MAWASILIANO YA BARABARA DAR – LINDI KUREJEA KESHO, SOMANGA PANAPITIKA: WAZIRI BASHUNGWA

May 8, 2024 Admin

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa anaendelea kuisimamia timu ya wataalam na Makandarasi kurejesha mawasiliano ya barabara ya Lindi – Dar es Salaam ambapo tayari eneo

Read More
Michezo

Lawi rasmi ni Mnyama, mkanda mzima upo hivi!

May 8, 2024 Admin

DILI LIMEKAMILIKA: Ndivyo ilivyo baada ya klabu ya Simba kumsajili beki wa kati wa Coastal Union, Lameck Lawi kwa  mkataba wa miaka miwili kwa ajili

Read More
Habari

Wingu uchaguzi Serikali za mitaa Tanzania, Tamisemi yatoa ufafanuzi

May 8, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ikiwa imebaki miezi minne kuelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amehoji kutotolewa kwa kanuni za uchaguzi

Read More

Posts pagination

1 2 … 10 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.