Wadau wataja mbinu kukabili mafuriko, uharibifu miundombinu

Dar es Salaam. Wakati mvua zinazonyesha maeneo mbalimbali nchini zikiendelea kuleta athari za kiuchumi na kukwamisha baadhi ya shughuli hasa usafirishaji, wadau wameshauri mbinu zinazoweza kutumika kukabili athari zake. Pia, wameitaka Serikali ya Tanzania kuwa na utaratibu wa kufanya tathimini ya miundombinu kabla ya masika ili kuweza kupunguza athari zinazoweza kutokea. Wametoa maoni hayo leo…

Read More

Mashujaa yalipa kisasi, yaandika rekodi

MASHUJAA FC wamefanikiwa kulipa kisasi mbele ya KMC FC baada ya leo kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma. Mchezo huo wa mzunguko wa pili, Mashujaa FC imetakata nyumbani kupitia mabao ya Jeremanus Josephat dakika 12, Hassan Cheda (dk 22) na Reliants Lusajo…

Read More

Maprofesa janga, wabunge wachambua hali halisi vyuo vikuu

Dodoma. Wabunge wametema nyongo kuhusu mustakabali wa elimu nchini, akiwamo mmoja aliyeonyesha wasiwasi wa ubora wa elimu, kwa vyuo vikuu kuwa na uhaba wa wahadhiri kwa ngazi ya uprofesa. Mbunge wa Viti Maalumu, Dk Tea Ntala amedai  kwa sasa nchini kuna maprofesa 93, huku vyuo vilivyopo vikihitaji maprofesa 516. “Kwa sasa nchini tunao maprofesa 93…

Read More

MAWASILIANO YA BARABARA DAR – LINDI KUREJEA KESHO, SOMANGA PANAPITIKA: WAZIRI BASHUNGWA

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa anaendelea kuisimamia timu ya wataalam na Makandarasi kurejesha mawasiliano ya barabara ya Lindi – Dar es Salaam ambapo tayari eneo la somanga limeanza kupitika na amesisitiza kuwa ifikapo kesho Alhamisi mawasiliano ya barabara hiyo yatarejea. Bashungwa amezungumza hayo Mei 08, 2024 Mkoani Lindi wakati akisimamia zoezi la urejeshaji wa miundombinu…

Read More

Lawi rasmi ni Mnyama, mkanda mzima upo hivi!

DILI LIMEKAMILIKA: Ndivyo ilivyo baada ya klabu ya Simba kumsajili beki wa kati wa Coastal Union, Lameck Lawi kwa  mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo msimu ujao. Lawi ambaye anamudu kucheza beki wa kati ataungana na Che Malone kucheza eneo hilo baada ya Henock Inonga na Keneddy Juma kutajwa kuondoka ndani…

Read More