Dar es Salaam. Benki ya Maendeleo Tanzania (TCB) imezindua huduma ya Kikoba Mix Kidijitali kuwezesha wanachama kutengeneza kikundi mtandaoni na kuwa na uwezo wa kuweka
Day: May 9, 2024

MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) amesema kupitia Mkutano wa 26 wa wakuu wa mashirika ya Viwango ya Afrika Mashariki wanatarajia kupitisha viwango

Dar es Salaam. Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle ametoa tahadhali ya ongezeko la idadi ya watu nchini akisema linaweza kuwa neema au kinyume

Maradhi hayo yanasababishwa na hitilafu kwenye mfumo wa umeme wa ubongo kutokana na sababu kama vile ajali, minyoo inayopatikana kwenye nyama isiyoiva vizuri, kiharusi, na

BENKI ya Equity na Kampuni ya Gesi ya Oryx zimekubaliana kuiunga mkono Serikali kuhusu matumizi ya nishati safi, ili kupunguza uchafuzi wa mazingira. Rais Samia

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Dodoma Bw.Kaspar Mmuya,akisisitiza jambo wakati akifungua semina ya baraza la ushindani (FCT) kwa wadau wa Mkoa wa Dodoma lenye lengo

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Serikali imeweka wazi kuwa inaendelea kuboresha sheria na sera ya miliki bunifu ili kuhakikisha yanakuwepo mazingira rafiki yenye tija kwa

Mpizani wa Rais Paul Kagame, Diane Rwigara ametangaza kuwania tena urais katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Julai 15, 2024mwaka huu. Mbali na Diane, Rais Kagame ambaye

Pwani. Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amesema nchi itajikita katika vipaumbele tisa, kwenye awamu ya pili ya Kampeni ya Mtu ni Afya.

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema maoni ya baadhi ya watu juu ya kuondolewa kwa fedha za kujikimu (boom) kwa wanafunzi wa elimu