Dreamliner ATCL yafumuliwa injini Malaysia

Dar es Salaam. Ndege ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL), Boeing Dreamliner ipo kwenye matengenezo makubwa ya lazima katika mji wa Kuala Lumpur, nchini Malaysia, Mwananchi limebaini. ATCL imekiri kuwa ndege hiyo yenye namba za usajili 5H-TCJ ipo kwenye matengenezo hayo tangu Novemba 2023 na inatarajiwa kukamilika Juni, 2024. Hii ni ndege ya pili…

Read More

RC MALIMA, MOROGORO KUWA KITOVU CHA UTALII

Mkuu wa Mkoa Morogoro Adam Malima amewataka wanahabari kuwa mabalozi wa utalii, kuandika taarifa zinazowavutia watalii kutoka nje na ndani ya nchi. RC Malima ameyasema hayo wakati akifungua Mafunzo kwa wanahabari yaliyoandaliwa na Chama Cha Waandishi wa habari Tanzania (TAMPA) kwa kushirikiana na TANAPA ambapo amesema Mkoa wa Morogoro unahifadhi Tatu Kubwa ambazo ni Mikumi,Udzungwa…

Read More

Bulaya alipua bomu wadaiwa sugu wa maji, vinara hadharani

Dodoma. Wakati Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akisema suala la ufinyu wa bajeti ya Wizara ya Maji litajadiliwa kati ya Kamati ya Bajeti na Serikali, mbunge wa viti maalumu, Ester Bulaya amesema taasisi za umma zinadaiwa ankara za maji za Sh26 bilioni. Katika mchango wake bungeni, Bulaya alieleza taasisi za majeshi ndizo zinazodaiwa madeni…

Read More

Sakata mtuhumiwa kupigwa risasi lachukua sura mpya

Dar es Salaam. Wiki moja baada ya Mwananchi kuripoti tuhuma za ofisa wa Polisi kudaiwa kumpiga risasi Ronald Mbaga wakati akimhoji kwa tuhuma za kuiba bastola ya mfanyabiashara, mfanyabiashara huyo naye amelalamika kutotendewa haki na Polisi. Ilidaiwa kuwa ofisa huyo wa polisi (jina limehifadhiwa) alimpiga risasi Mbaga akiwa anamhoji nyumbani kwake, lakini madai hayo yamekanushwa…

Read More

RC Tanga ataka udhibiti utoroshaji madini Horohoro

Tanga. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Burian amezitaka taasisi na mamlaka zinazosimamia Kituo cha Huduma Jumuishi cha Horohoro kufuatilia na kudhibiti utoroshaji wa madini ya vito kwenye eneo hilo kwa kuwa kunaikosesha Serikali mapato. Akizungumza na watumishi wa taasisi na mamlaka zaidi ya 17 zinazosimamia Kituo cha Huduma Jumuishi Horohoro leo Ijumaa Mei…

Read More

Jinsi ya kutengeneza pesa kwa simu yako

Dar es Salaam. Umewahi kufikiria kuwa simu yako inaweza kukutajirisha kwa kuingiza fedha nyingi, endapo utaitumia kwa usahihi mtandaoni? Eva Damba, mkazi wa Iringa anasema kwa siku huingiza kati ya Sh50,000 hadi Sh90,000 kwa kufanya biashara mtandaoni kupitia mtandao wa WhatsApp bila kukutana na mteja. Shukrani anazitoa kwa mapinduzi ya teknolojia yaliyoleta simu janja. “Simu…

Read More