Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 10, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 10
Habari

Dreamliner ATCL yafumuliwa injini Malaysia

May 10, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ndege ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL), Boeing Dreamliner ipo kwenye matengenezo makubwa ya lazima katika mji wa Kuala Lumpur, nchini

Read More
Habari

RC MALIMA, MOROGORO KUWA KITOVU CHA UTALII

May 10, 2024 Admin

Mkuu wa Mkoa Morogoro Adam Malima amewataka wanahabari kuwa mabalozi wa utalii, kuandika taarifa zinazowavutia watalii kutoka nje na ndani ya nchi. RC Malima ameyasema

Read More
Habari

Bulaya alipua bomu wadaiwa sugu wa maji, vinara hadharani

May 10, 2024 Admin

Dodoma. Wakati Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akisema suala la ufinyu wa bajeti ya Wizara ya Maji litajadiliwa kati ya Kamati ya Bajeti na

Read More
Habari

RAIS DKT. MWINYI AMTEMBELEA ALIYEWAHI KUWA MBUNGE WA AMANI ZANZIBAR MHE. HASSAN RAJAB NYUMBANI KWAKE

May 10, 2024 Admin

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Bw. Hassan Rajab aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Amani

Read More
Habari

Sakata mtuhumiwa kupigwa risasi lachukua sura mpya

May 10, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wiki moja baada ya Mwananchi kuripoti tuhuma za ofisa wa Polisi kudaiwa kumpiga risasi Ronald Mbaga wakati akimhoji kwa tuhuma za kuiba

Read More
Habari

WABUNGE WAIKUBALI BAJETI YA 627,778,338,000/- WIZARA YA MAJI

May 10, 2024 Admin

  Na Mwandishi Wetu BUNGE  la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeridhia  kwa kishindo na kwa asilimia mia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Bajeti

Read More
Habari

Mafuriko yatikisa Bukoba, binti afariki dunia kwa kusombwa na maji

May 10, 2024 Admin

Bukoba. Binti mmoja mwenye umri wa miaka 19 amefariki dunia kwa mafuriko yaliyoukumba mji wa Bukoba mkoani Kagera kutokana na  mvua zinazoendelea kunyesha. Akizungumza na

Read More
Habari

Dk Tulia ataka mifuko ya hifadhi ya jamii inayowacheleweshea wastaafu mafao ibanwe

May 10, 2024 Admin

Dodoma. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ameiagiza Serikali kupeleka bungeni Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mafao ya Wastaafu ili kuweka riba kwa mifuko

Read More
Habari

RC Tanga ataka udhibiti utoroshaji madini Horohoro

May 10, 2024 Admin

Tanga. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Burian amezitaka taasisi na mamlaka zinazosimamia Kituo cha Huduma Jumuishi cha Horohoro kufuatilia na kudhibiti utoroshaji wa

Read More
Burudani

Jinsi ya kutengeneza pesa kwa simu yako

May 10, 2024 Admin

Dar es Salaam. Umewahi kufikiria kuwa simu yako inaweza kukutajirisha kwa kuingiza fedha nyingi, endapo utaitumia kwa usahihi mtandaoni? Eva Damba, mkazi wa Iringa anasema

Read More

Posts pagination

1 2 … 9 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.