Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 11, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 11
Habari

MICHEZO NI AFYA, NI FURSA YA AJIRA – MAJALIWA

May 11, 2024 Admin

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema michezo ni zaidi ya afya na burudani, ni fursa ya ajira na pia hupunguza magonjwa mwilini. “Kama mnavyofahamu, michezo ni

Read More
Habari

MFUMO WA PAMOJA WA UKUSANYAJI TOZO KUANZISHWA ILI KURAHISISHA UFANYAJI BIASHARA

May 11, 2024 Admin

Waziri wa Viwanda na Biashara,Mhe Dkt. Ashatu Kijaji amesema Serikali inaendelea na mchakato wa kuandaa mfumo mmoja wa ukusanyaji wa kodi kwa wafanyabiashara nchini ili

Read More
Habari

‘Jengeni kwa chuma kulinda mazingira’

May 11, 2024 Admin

Unguja. Wakati sekta ya ujenzi ikitajwa kuwa miongoni mwa zinazochangia kwa kiasi kikubwa kuharibu mazingira, wahandisi wameshauriwa kujifunza matumizi ya teknolojia ya chuma ambayo ni

Read More
Habari

SERIKALI YAPONGEZA MCHANGO WA RED CROSS TANZANIA

May 11, 2024 Admin

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati-Rais Samia atunukiwa Tuzo ya Ubinadamu; -Ombi la ruzuku kwa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania lafanyiwa

Read More
Habari

Wasomea masomo ya sanaa kwenye maabara ya sayansi

May 11, 2024 Admin

Morogoro. Kutokana na uhaba wa viti, meza na madarasa, wanafunzi wa sanaa katika Shule ya Sekondari Ifakara wilayani Kilombero, wanalazimika kutumia maabara kusoma masomo yasiyohusiana

Read More
Habari

Rais Samia mwenyekiti mwenza mkutano wa nishati safi ya kupikia

May 11, 2024 Admin

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, atakuwa mwenyekiti mwenza katika mkutano wa nishati safi ya kupikia kwa Afrika utakaofanyika nchini Ufaransa. Anatarajiwa kuondoka nchini

Read More
Habari

Meridianbet yatoa msaada Kigamboni siku ya Mama Duniani

May 11, 2024 Admin

MABIBGWA wa michezo ya kubashiri kampuni yaMeridianbet imefika kigamboni leo siku ya kina Mama duniani na kufanikiwa kutoa msaada katika Zahanati inayopatikana Mji mwema. Anaripoti Mwandishi

Read More
Habari

Red Cross yaadhimisha miaka 62 ikizikumbuka ajali za Mv Bukoba, treni Dodoma

May 11, 2024 Admin

Dodoma. Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (Red Cross Society) kikiadhimisha miaka 62 tangu kilipoanzishwa, kimekumbuka ushiriki wake katika kuhudumia waathirika wa ajali za MV Bukoba

Read More
Habari

Mabanda kutumika kuhamasisha kujifunza sayansi na hisabati

May 11, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na mkazo wa masomo ya sayansi, teknolojia, uhandisi na hisabati (STEM), wadau wa elimu wamebuni mpango wa kujifunza kuanzia ngazi

Read More
Habari

Wagombea kanda nne Chadema kikaangoni kesho

May 11, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati kikao cha siku tatu cha Kamati Kuu ya Chadema kikianza leo Mei 11, 2024, baadhi ya wagombea wa uchaguzi wa kanda

Read More

Posts pagination

1 2 … 6 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.