Hatua za kuchukua kuepuka malaria kali

Dar es Salaam. Wizara ya Afya, imeitaka jamii kujikinga dhidi ya ugonjwa wa malaria, ikitaja hatua za kuchukua kuepuka ugonjwa huo, huku  takwimu zikionyesha kuongezeka kwa wagonjwa na vifo vya malaria nchini. Kulala ndani ya chandarua chenye dawa, kufukia madimbwi, kufyeka nyasi, kupaka  dawa zinazozuia mbu na kufika vituo vya afya pindi wanapopata homa,  ni…

Read More

MERIDIANBET YAPELEKA TABASAMU KIGAMBONI SIKU YA KINA MAMA

KAMPUNI ya Meridianbet imefanikiwa kupeleka tabasamu Kigamboni eneo linalofahamika kama mji mwema, Kwani wataalamu hao wa michezo ya kubashiri wamefika kwenye Zahanati inayopatikana eneo hilo na kutoa msaada kwenye siku ya kina Mama duniani. Katika kuhakikisha wanaonesha kuuthamini mchango wa mwanamke katika jamii walifika katika Zahanati hiyo na kutoa msaada wa vitu mbalimbali ikiwemo chakula,…

Read More

Haki za binadamu kuundiwa mtalaa wa elimu

Dodoma. Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Pindi Chana amesema wizara yake kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, zinakusudia kuingiza kwenye mitalaa ya elimu masuala ya haki za binadamu. Amesema licha ya kuendesha elimu na mafunzo kuhusu haki za binadamu, wanawasiliana kwa karibu na wizara hiyo ili kuona uwezekano wa kuwa somo…

Read More

Lissu aanika ushahidi tuhuma za rushwa Chadema

Dar es Salaam. Unaweza kusema siku ya kwanza ya kikao cha Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ilikuwa sawa na moto. Kinaelezwa kuwa kilikuwa kikao cha kusemezana, kuonyana na kuambiana ukweli. Kikao hicho kilichoanza juzi saa tano asubuhi, licha ya kuwa na ajenda kadhaa, kilishuhudia Makamu Mwenyekiti-Bara, Tundu Lissu akiwasilisha ushahidi wa…

Read More

Mtumishi wa Halmashauri atoweka siku 20

Dar es Salaam. Mtumishi wa Halmashauri ya Kisarawe mkoa wa Pwani, Salum Kunikuni (29) amepotea tangu Aprili 23, 2024 alipokuwa anaelekea kazini akitokea nyumbani kwao Zingiziwa. Salum ambaye ni dereva wa Halmashauri ya Kisarawe akiendesha magari ya kitengo cha kilimo, tangu kutoweka kwake bado juhudi za kumtafuta hazijazaa matunda. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Mei…

Read More

TRA, ZRA ZAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MIPAKA YA TANZANIA NA ZAMBIA

Na mwandishi wetu Tunduma KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani Banda wameweka mikakati ya kuimarisha utendaji kazi wa mpaka wa Tanzania na Zambia, Tunduma ili kuwahudumia kwa ufanisi wasafiri na wasafirishaji kutoka pande zote. Akizungumza na waandishi wa.habari jana Kamishna Kidata…

Read More