Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 13, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 13
Habari

Makabiliano kati ya jeshi na RSF yazuka upya Sudan – DW – 13.05.2024

May 13, 2024 Admin

Kulingana na Umoja wa Mataifa, watu 27 wamefariki dunia baada ya machafuko ya siku moja tu. Walioshuhudia wameripoti mashambulizi ya angani, makombora na makabiliano ya

Read More
Habari

Maswali yalivyowavuruga wagombea Chadema | Mwananchi

May 13, 2024 Admin

Dar es Salaam. Usaili wa wagombea wa uenyekiti, umakamu na wahazini wa kanda nne za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ngoma nzito ndivyo unavyoweza

Read More
Habari

ZIMAMOTO WAZINDUA NYUMBA ZA MAKAAZI NA MAGARI.

May 13, 2024 Admin

DODOMA. Mei 13, 2024 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Mhandisi Hamad Masauni (Mb) amezindua Nyumba za Makaazi ya Askari wa Jeshi la Zimamoto

Read More
Habari

Israel yaendelea kushambulia Rafah – DW – 13.05.2024

May 13, 2024 Admin

Asubuhi ya Jumatatu , anga la Gaza lilikuwa limetanda moshi kutokana na mashambulizi ya mabomu na mizinga yaliyofanywa na jeshi la Israel, wakati likijaribu kujipenyeza ndani

Read More
Habari

Madaktari bingwa 35 kutoa matibabu bure Mbeya

May 13, 2024 Admin

Mbeya.  Timu ya madaktari bingwa  35 imewea  kambi ya siku tano jijini hapa kwa ajili   ya kutoa huduma  bure za  uchunguzi na matibabu ya  kibingwa

Read More
Habari

DC KASILDA AKERWA NA RUWASA SAME KUTOSHIRIKISHA JAMII KATIKA MIRADI YAKE.

May 13, 2024 Admin

NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Wakala wa maji safi na usafi wa

Read More
Habari

Zelensky asema jeshi lake liko katika vita ‘vikali’ mpakani – DW – 13.05.2024

May 13, 2024 Admin

Vita hivyo vikali vinatokana na mashambulizi ya vikosi vya Urusi vinavyojaribu kusonga mbele katika vijiji vya mpaka wa jimbo la Kharkiv.  Mashambulizi mapya ya Urusi Kaskazini

Read More
Habari

Bei ya ufuta yafurahisha wakulima

May 13, 2024 Admin

Mtwara. Baada ya ufuta kuuzwa kwa Sh4,000 katika mikoa ya Lindi na Mtwara msimu uliopita Mkoa wa Songwe umeweka rekodi kwa kuuza zao hilo kwa

Read More
Habari

MODULI YA KUWASILISHA RUFAA ZA ZABUNI KIELETRONIKI MBIONI KUANZA

May 13, 2024 Admin

Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imesema moduli ya mfumo mpya wa kuwasilisha na kushughulikia malalamiko na rufaa kwa njia ya kieletroniki (Complaint

Read More
Michezo

Gamondi anusurika, waamuzi wafungiwa | Mwanaspoti

May 13, 2024 Admin

Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi amepishana na adhabu ya kifungo baada ya kupigwa faini ya Sh2 milioni kwa kosa la kufanya vurugu ikiwemo kuwashambulia kwa

Read More

Posts pagination

1 2 … 5 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.