Hali si shwari kwenye familia

Dar es Salaam. Wakati Tanzania inaungana na mataifa mengine kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Familia, taasisi hiyo imeendelea kukabiliwa na changamoto lukuki ikiwamo migogoro ya ndoa, malezi duni na ongezeko la watoto wa mitaani. Changamoto hizi zimechochea mmomonyoko wa maadili miongoni mwa watoto na vitendo vyenye athari  ikiwamo kujihusisha na vitendo vya ngono katika umri…

Read More

Profesa Assad kuongoza timu ya wataalamu kubadili mitalaa TIA

Morogoro. Profesa Mussa Assad anatarajia kuongoza timu ya wachumi na wataalamu wa mahesabu hapa nchini, kupitia na kubadili mitalaa ya kufundishia katika Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) ili kuwawezesha wahitimu kukidhi mahitaji ya soko la ajira. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumanne Mei 14, 2024, Ofisa Mtendaji mkuu wa taasisi hiyo, Profesa William Pallangyo amesema…

Read More

TEMESA, GAWS WAKUTANA KUBADILISHANA UWEZO KATIKA UTOAJI HUDUMA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WATAALAMU kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) pamoja na Wataalamu kutoka Wakala wa Karakana Kuu ya kutengeneza Magari Zanzibar (GAWS) wamekutana kujadili namna watakavyobadilishana uwezo kuhakikisha taasisi hizo zinafanya vizuri katika utoaji huduma. Akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 14,2024 Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji GAWS…

Read More

Wavuvi walalama kufungwa Ziwa Tanganyika

Mwanza. Baadhi ya wavuvi wa mikoa ya Rukwa, Kigoma na Katavi inayozungukwa na Ziwa Tanganyika wamesema hawajui hatima yao wakati ziwa hilo likifungwa. Imeelezwa kuwa ziwa linafungwa leo na litafunguliwa Mei 15, 2024 ili kupisha uzalishaji wa mazalia ya samaki. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega akizungumza na Mwananchi leo amesema  kufungwa kwa ziwa…

Read More

Shahidi aeleza jinsi mshtakiwa alivyowasilisha hati feki

Dar es Salaam. Aliyekuwa Msajili wa Ardhi Msaidizi, kutoka Wizara ya Ardhi mkoani Kilimanjaro, Emmanuel Bundala (41) ameileza Mahakama jinsi alivyofanya uchunguzi wa hati ya umiliki wa ardhi na kubaini mmiliki halisi alikuwa ni Stella Mwasha na siyo Rajesh Kumar. Bundala ameeleza hayo leo Jumanne, Mei 14, 2024 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini…

Read More