Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 14, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 14
Habari

Hali si shwari kwenye familia

May 14, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati Tanzania inaungana na mataifa mengine kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Familia, taasisi hiyo imeendelea kukabiliwa na changamoto lukuki ikiwamo migogoro ya

Read More
Habari

RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA RAIS WA UFARANSA MHE. EMMANUEL MACRON KATIKA IKULU YA PARIS NCHINI UFARANSA

May 14, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Mhe. Emmanuel Macron

Read More
Habari

Profesa Assad kuongoza timu ya wataalamu kubadili mitalaa TIA

May 14, 2024 Admin

Morogoro. Profesa Mussa Assad anatarajia kuongoza timu ya wachumi na wataalamu wa mahesabu hapa nchini, kupitia na kubadili mitalaa ya kufundishia katika Taasisi ya Uhasibu

Read More
Habari

TEMESA, GAWS WAKUTANA KUBADILISHANA UWEZO KATIKA UTOAJI HUDUMA

May 14, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WATAALAMU kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) pamoja na Wataalamu kutoka Wakala wa Karakana Kuu ya kutengeneza Magari

Read More
Habari

Afrika Mashariki wasisitizwa ushirikiano kukabiliana na hali mbaya ya hewa

May 14, 2024 Admin

  MWENYEKITI wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Jaji Mshibe Ali Bakari ametoa rai kwa wataalamu kutoka nchi za Kanda ya

Read More
Habari

Wavuvi walalama kufungwa Ziwa Tanganyika

May 14, 2024 Admin

Mwanza. Baadhi ya wavuvi wa mikoa ya Rukwa, Kigoma na Katavi inayozungukwa na Ziwa Tanganyika wamesema hawajui hatima yao wakati ziwa hilo likifungwa. Imeelezwa kuwa

Read More
Habari

NEEC YAZINDUA PROGRAMA YA IMARISHA UCHUMI NA MAMA SAMIA MKOA WA MOROGORO

May 14, 2024 Admin

Na mwandishi wetu, morogoro Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) limezindua Program ya Imarisha Uchumi na Mama Samia katika Mkoa wa Morogoro kwajili ya kuvitambua

Read More
Habari

Shahidi aeleza jinsi mshtakiwa alivyowasilisha hati feki

May 14, 2024 Admin

Dar es Salaam. Aliyekuwa Msajili wa Ardhi Msaidizi, kutoka Wizara ya Ardhi mkoani Kilimanjaro, Emmanuel Bundala (41) ameileza Mahakama jinsi alivyofanya uchunguzi wa hati ya

Read More
Habari

DKT. JAFO AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAZINGIRA NA NISHATI WA UINGEREZA

May 14, 2024 Admin

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mazingira na Nishati

Read More
Michezo

Dodoma Jiji dakika 270 bila bao ikitoka suluhu na Namungo

May 14, 2024 Admin

DODOMA Jiji FC, imetoka suluhu na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliochezwa Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma. Mchezo huo ulizikutanisha timu

Read More

Posts pagination

1 2 … 9 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.