Polisi, TCRA waendelea kuwasaka ‘tuma kwa namba hii’

Dar es Salaam. Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) limewakamata na kuwahoji watu 27 kwa tuhuma za makosa ya kimtandao yakiwamo ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu. Idadi hiyo inafikisha jumla ya watuhumiwa 83 waliokamatwa tangu kuanza kwa operesheni ya kuwasaka miezi mitatu iliyopita. Baadhi…

Read More

Wanaodaiwa kumlawiti mtoto wa miaka mitatu mbaroni Arusha

Arusha. Watu ambao idadi yao haikutajwa wanaotuhumiwa kumlawiti mtoto wa miaka mitatu katika Kata ya Muriet, jijini Arusha wamekamatwa.  Kukamatwa kwao kunatokana na agizo la Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alilolitoa mwishoni mwa wiki wakati akihitimisha siku tatu za kliniki ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Makonda alimwagiza Mkuu wa Wilaya ya…

Read More

Serikali kuzihamisha kaya 1,712 KIA ifikapo Juni

Hai. Serikali imesema shughuli ya kuzihamisha kaya 1,712 za wilaya za Arumeru mkoani Arusha na Hai mkoani Kilimanjaro, zinazodaiwa kuvamia ardhi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) itakamilika Juni 2024. Kaya zinazopaswa kuondoka katika upande wa wilaya ya Hai ni 1,061 zilizopo viijiji vya Tindigani, Mtakuja, Chemka na Sanya Station, huku upande…

Read More

UINGEREZA, HISPANIA, UFARANSA, NA ITALIA NGOMA NZITO LEO

LIGI takribani nne barani ulaya leo moto utawaka kwani inakwenda kupigwa michezo kadhaa ambayo itakua inaamua hatma ya timu mbalimbali katika kubaki ligi kuu, wengine kushiriki michuano ya ulaya kwa msimu ujao Kupitia michezo ambayo itarindima usiku wa leo mbali na kua michezo mikali lakini pia itakua inatoa nafasi kwa wateja wa kampuni bingwa kabisa…

Read More

VIDEO: Majibu ya Serikali kuingia Zanzibar kwa pasipoti

Dodoma. Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema hakujawahi kuwa na hati ya kusafiria kutoka Zanzibar kwenda Dar es Salaam wala mkoa wowote bali kilichokuwepo ni hati maalumu. Masauni amesema hayo akijibu hoja ya mbunge wa Konde, Mohamed Said Issa ambaye alitaka utaratibu wa kutumia hati ya kusafiria kwa mtu anayeingia Zanzibar urejeshwe. Akijibu…

Read More

TANZANIA NA UFARANSA KUIMARISHA DIPLOMASIA YA UCHUMI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba amekutana kwa mazungumzo na Waziri wa Biashara, Uchumi, Nchi zinazozungumza Kifaransa na Wafaransa waishio nje ya nchi, Mhe. Frank Reister katika ofisi za Wizara jijini Paris, Ufaransa tarehe 15 Mei, 2024. Mawaziri hao wamejadili kuhusu namna bora ya kuimarisha ushirikiano kwenye masuala…

Read More