
Polisi, TCRA waendelea kuwasaka ‘tuma kwa namba hii’
Dar es Salaam. Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) limewakamata na kuwahoji watu 27 kwa tuhuma za makosa ya kimtandao yakiwamo ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu. Idadi hiyo inafikisha jumla ya watuhumiwa 83 waliokamatwa tangu kuanza kwa operesheni ya kuwasaka miezi mitatu iliyopita. Baadhi…