Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 15, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 15
Habari

Polisi, TCRA waendelea kuwasaka ‘tuma kwa namba hii’

May 15, 2024 Admin

Dar es Salaam. Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) limewakamata na kuwahoji watu 27 kwa tuhuma

Read More
Habari

VIDEO: Baba adaiwa kuua mwanae kwa kipigo, kisa kajisaidia na kujipaka kinyesi mwilini

May 15, 2024 Admin

Mwanza. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia mkazi wa Kijiji cha Malya Tarafa ya Ibindo wilayani Kwimba mkoani humo, Fabian Pauline (32) kwa tuhuma

Read More
Habari

Wanaodaiwa kumlawiti mtoto wa miaka mitatu mbaroni Arusha

May 15, 2024 Admin

Arusha. Watu ambao idadi yao haikutajwa wanaotuhumiwa kumlawiti mtoto wa miaka mitatu katika Kata ya Muriet, jijini Arusha wamekamatwa.  Kukamatwa kwao kunatokana na agizo la

Read More
Habari

NCHI ZA KANDA YA AFRIKA MASHARIKI ZASISITIZWA USHIRIKIANO KUKABILIANA NA HALI MBAYA YA HEWA

May 15, 2024 Admin

  MWENYEKITI wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Jaji Mshibe Ali Bakari ametoa rai kwa wataalamu kutoka nchi za Kanda ya

Read More
Habari

Serikali kuzihamisha kaya 1,712 KIA ifikapo Juni

May 15, 2024 Admin

Hai. Serikali imesema shughuli ya kuzihamisha kaya 1,712 za wilaya za Arumeru mkoani Arusha na Hai mkoani Kilimanjaro, zinazodaiwa kuvamia ardhi ya Uwanja wa Ndege

Read More
Habari

UINGEREZA, HISPANIA, UFARANSA, NA ITALIA NGOMA NZITO LEO

May 15, 2024 Admin

LIGI takribani nne barani ulaya leo moto utawaka kwani inakwenda kupigwa michezo kadhaa ambayo itakua inaamua hatma ya timu mbalimbali katika kubaki ligi kuu, wengine

Read More
Habari

VIDEO: Majibu ya Serikali kuingia Zanzibar kwa pasipoti

May 15, 2024 Admin

Dodoma. Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema hakujawahi kuwa na hati ya kusafiria kutoka Zanzibar kwenda Dar es Salaam wala mkoa wowote bali

Read More
Habari

TANZANIA NA UFARANSA KUIMARISHA DIPLOMASIA YA UCHUMI

May 15, 2024 Admin

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba amekutana kwa mazungumzo na Waziri wa Biashara, Uchumi, Nchi zinazozungumza Kifaransa na

Read More
Habari

Mamlaka ya masoko ya mitaji na dhamana yajivunia maendeleo

May 15, 2024 Admin

  AFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA)Nicodemus Mkama amesema kitendo cha kuorodheshwa kwa hatifungani ya Kijani ya kuboresha miundombinu

Read More
Habari

Hati chafu zatawala vyama vya ushirika Mara, RC aagiza Takukuru kuchunguza

May 15, 2024 Admin

Musoma. Asilimia 89 ya vyama vya ushirika mkoani Mara vilivyokaguliwa na Shirika la Usimamizi na Ukaguzi wa Vyama vya Ushirika (Coasco), vimebainika kuwa na hati zisizoridhisha

Read More

Posts pagination

1 2 … 9 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.