KMC yaichapa Singida FG, yaisogelea Coastal Union

BAO la Ibrahim Elias dakika ya 20 akimalizia vizuri pasi ya Wazir Junior, limetosha kuipa ushindi KMC wa 1-0 dhidi ya Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam. Katika mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa, ilishuhudiwa nafasi nyingi zikitengenezwa kila upande lakini ilikuwa ngumu kutumiwa…

Read More

Dk Bagonza ataja kasoro za demokrasia

Unguja. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza amezitaja kasoro 10 za mfumo wa kidemokrasia nchini,  huku akisema kukosekana kwa demokrasia ni hatari kwa Taifa na mtu mmoja mmoja.  Mbali na kasoro hizo, kiongozi huyo wa kiroho amesema licha ya nia njema ya Rais Samia Suluhu Hassan kutengeneza…

Read More

Aliyempiga risasi Waziri Mkuu Slovakia apandishwa kizimbani

Bratislava. Waziri wa Mambo ya Ndani wa Slovakia, Matus Sutaj Estok amesema mtuhumiwa aliyekamatwa kwa kumpiga risasi Waziri Mkuu Robert Fico ameshtakiwa kwa jaribio la mauaji. “Polisi wanafanya kazi, mtuhumiwa anashtakiwa kwa jaribio la kuua kwa kukusudia,” Estok amewaambia waandishi wa habari alipozungumzia shambulio lililochochewa kisiasa. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la AFP, Waziri…

Read More

REA YATOA ELIMU MATUMIZI MAJIKO BANIFU MSOMERA

Mhandisi Mwandamizi kutoka Kitengo cha Nishati Jadidifu na Teknolojia Mbadala cha Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Deusdedit Malulu akitoa elimu juu ya matumizi ya majiko banifu kwa Wanakijiji wa Kijiji cha Msomera, Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga, leo Mei 16. Wizara ya Nishati kwa kushirikiana na REA pamoja na Taifa Gas wanatarajiwa kutoa majiko banifu…

Read More

Matumizi bora ya ardhi kuondoa migongano ya binadamu, wanyamapori

Dar es Salaam. Suala la mipango ya matumizi bora ya ardhi, limetajwa kuwa suluhisho la changamoto zinazosababisha migongano kati ya wanyamapori na binadamu vijijini na kusababisha ugumu wa pande hizo mbili kuishi pamoja. Hayo yamebainishwa leo Mei 16, 2024 wakati wa majadiliano yaliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za mazingira Tanzania (JET) wanaotekeleza mradi…

Read More