Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 16, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 16
Habari

BALOZI MBAROUK AKUTANA NA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA ETHIOPIA JIJINI DODOMA

May 16, 2024 Admin

Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa

Read More
Habari

MKUU WA WILAYA YA HANDENI, ALBART MSANDO AGAWA MITUNGI 300 YA TAIFA GAS KWA WANANCHI WAKE HANDENI.

May 16, 2024 Admin

Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Wakili Albart Msando(kulia) akimkabidhi mtungi wa Taifa Gas Shekh wa Wilaya ya Handeni, Shaban Kizulwa wakati wa hafla ya kukabidhi

Read More
Michezo

KMC yaichapa Singida FG, yaisogelea Coastal Union

May 16, 2024 Admin

BAO la Ibrahim Elias dakika ya 20 akimalizia vizuri pasi ya Wazir Junior, limetosha kuipa ushindi KMC wa 1-0 dhidi ya Singida Fountain Gate katika

Read More
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 17,2024

May 16, 2024 Admin

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 17,2024 Featured • Magazeti About the author

Read More
Habari

TTCL YAUNGANISHA NCHI 8 ZA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI KATIKA MKONGO WA TAIFA.

May 16, 2024 Admin

  Na Mwandishi Wetu Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb), leo Mei 16, 2024 ametembelea Banda la Maonesho

Read More
Habari

SERIKALI YAONGEZA VITUO SAIDIZI NA UNASIHI KWA WARAIBU HADI KUFIKIA 16

May 16, 2024 Admin

Na Gideon Gregory, Dodoma.Serikali imeendelea kuboresha huduma za tiba kwa watu wenye uraibu wa dawa za kulevya ili kupunguza madhara yanayotokana na matumizi ya dawa

Read More
Habari

Dk Bagonza ataja kasoro za demokrasia

May 16, 2024 Admin

Unguja. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza amezitaja kasoro 10 za mfumo wa kidemokrasia nchini,  huku akisema

Read More
Habari

Aliyempiga risasi Waziri Mkuu Slovakia apandishwa kizimbani

May 16, 2024 Admin

Bratislava. Waziri wa Mambo ya Ndani wa Slovakia, Matus Sutaj Estok amesema mtuhumiwa aliyekamatwa kwa kumpiga risasi Waziri Mkuu Robert Fico ameshtakiwa kwa jaribio la

Read More
Habari

REA YATOA ELIMU MATUMIZI MAJIKO BANIFU MSOMERA

May 16, 2024 Admin

Mhandisi Mwandamizi kutoka Kitengo cha Nishati Jadidifu na Teknolojia Mbadala cha Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Deusdedit Malulu akitoa elimu juu ya matumizi ya majiko

Read More
Habari

Matumizi bora ya ardhi kuondoa migongano ya binadamu, wanyamapori

May 16, 2024 Admin

Dar es Salaam. Suala la mipango ya matumizi bora ya ardhi, limetajwa kuwa suluhisho la changamoto zinazosababisha migongano kati ya wanyamapori na binadamu vijijini na

Read More

Posts pagination

1 2 … 11 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.