Tunataka Katiba lakini… | Mwananchi

Unguja. Ili kupata Katiba mpya, maendeleo ya demokrasia, chaguzi zenye haki na utawala bora, wadau wametoa mapendekezo wakitahadharisha madai yafanyike pasipo umwagaji damu. Viongozi wa dini, asasi za kiraia na wanasiasa wamesema umefika wakati wa kushirikiana kama Taifa bila kujali tofauti za vyama au dini kuandamana kwa njia ya amani kudai Katiba mpya, vinginevyo itapita…

Read More

JK atoa angalizo jamii kumsahau mtoto wa kiume

Dar es Salaam. Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ametoa tahadhari akisema wakati nchi ikifanikiwa kumnyanyua mtoto wa kike, muhimu ni kutomuacha nyuma mtoto wa kiume kielimu. Amesema hatua hiyo itaisaidia nchi kusonga mbele katika ulimwengu wa sasa, kwani kumuacha nyuma mtoto wa kiume anaweza kuja kuwa tatizo katika jamii. Kikwete ameyasema hayo…

Read More

Askofu ajinyonga chanzo kikidaiwa ni madeni

Dodoma. Askofu Mkuu wa Makanisa ya Methodist, Joseph Bundala amejinyonga ofisini kwake kwa kutumia waya wa simu, akieleza chanzo ni madeni yaliyokuwa yanamkabili. Tukio hilo lilitokea jana Mei 16 saa moja usiku, kwenye choo cha ofisi yake, iliyoko ndani ya kanisa la Methodist, Meriwa jijini Dodoma. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Alchelaus Mutalemwa,…

Read More

NHC yanunua eneo la Urafiki

Dar es Salaam. Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limenunua eneo la Urafiki, zikiwamo mali zilizokuwa chini ya Kampuni ya Urafiki wa Tanzania na China. Meneja wa Mawasiliano kwa Umma wa NHC, Muungano Saguya amesema hayo leo Mei 17, 2024 wakati wa ziara ya Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Hamad Abdallah kutembelea miradi inayotekelezwa na shirika…

Read More

Lissu akabidhiwa gari lake, aomba msaada wa matengenezo

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu leo Ijumaa amekabidhiwa gari lake aina ya Toyota Land Cruiser V8, VXR na Jeshi la Polisi mkoani Dodoma na kuwaomba Watanzania wamsaidie kulitengeneza kisha lifanye kazi za siasa.  Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Lissu amekabidhiwa gari hilo lililokuwa limehifadhiwa katika Kituo cha Polisi Dodoma tangu aliposhambuliwa kwa risasi tarehe…

Read More

Lissu akabidhiwa gari lake lililoshambuliwa kwa risasi

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti Chadema-Bara, Tundu Lissu amekabidhiwa gari lake aina ya Toyota Land Cruiser V8, VXR na Jeshi la Polisi, jijini Dodoma, ikiwa ni takriban miaka saba tangu aliposhambuliwa. Gari hilo alilokabidhiwa leo, Mei 17, 2024 lilikuwa limehifadhiwa katika yadi ya Kituo Kikuu cha Polisi Dodoma tangu Septemba 7, 2017 aliposhambuliwa kwa risasi…

Read More

Iringa kutumia Sh4.4 bilioni utekelezaji miradi ya maendeleo

Iringa. Halmashauri ya Manispaa ya Iringa inatumia zaidi ya Sh4.4 bilioni kutekeleza miradi ya maendeleo. Imeelezwa kati ya fedha hizo, Sh2.6 bilioni zinaboresha miundombinu ya jengo la kitega uchumi linalojengwa eneo la stendi ya zamani, ambako pia kunajengwa jengo la ghorofa mbili litakalotumiwa na wafanyabiashara. Hayo yamebainishwa leo Ijumaa Mei 17, 2024 wakati wa ziara…

Read More

KUELEKEA SIKU YA VIPIMO DUNIANI WMA YAENDELEA KUTOA ELIMU, KUKUMBUSHA SHERIA KWA WADAU

KUELEKEA Maadhimisho ya Siku ya Vipimo Duniani inayoadhimishwa Mei 20 kila mwaka, Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA,) imeendelea kuwafikia wadau mbalimbali na kutoa elimu na kuwakumbusha masuala mbalimbali yanayohusu vipimo ikiwemo uzingatiaji wa sheria za vipimo pamoja na afya. Akizungumza na wafanyabiashara wa soko la Sterio, Temeke jijini Dar es Salaam Meneja wa WMA Mkoa…

Read More