KMKM yainyoa Malindi, Kundemba ikijitafuta ZPL

Chelsea ya wanawake yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu England BAO la dakika 90 lililowekwa kimiani na Salum Akida Shuruku lilimeiwezesha watetezi wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), KMKM kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 mbele ya Malindi na kufufua matumaini ya kutetea taji hilo inalolishikilia kwa misimu mitatu mfululizo tangu mwaka 2021. Ushindi huo uliopatikana kwenye…

Read More

Wanandoa watofautishe kupendana na kutaka

Kila mtu humpenda mwingine. Vivyo hivyo, anaweza kumtaka au kutakiwa na mwingine. Hakuna asiyejua kupenda ingawa si wote wanaopenda ifaavyo na inavyotakiwa. Muhimu ni kujua kupenda na kutaka ni vitu viwili tofauti. Mfano, unaweza kumpenda mtu kiasi cha kujisikia vibaya usipomuona. Pia, unaweza kumtaka mtu ukadhani unampenda. Hata hivyo, kupenda kwa namna hii kunaweza kuwa…

Read More

Wanayopitia wanaume, wanawake wanaoachana kumtunza mtoto

Dar es Salaam. Wakati wimbi la watoto wanaolelewa na mzazi mmoja likiendelea kushika kasi kutokana na ongezeko la wazazi na wenza kutengana baada ya kupata mtoto, imebainika wenza hao hupitia madhila katika mchakato wa malezi ya watoto hao. Miongoni mwa madhila hayo ni kushindwa kuaminika, hasa wanapoingia kwenye uhusiano mpya na kujikuta wakiishia kuingia kwenye…

Read More

Kanuni za uchaguzi bado kizungumkuti

Dar es Salaam. Wakati Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ikipitisha kanuni za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi za mwaka 2024 na kanuni za uboreshaji wa daftari la kudumu la wapigakura za mwaka 2024, baadhi ya vyama na asasi za kiraia zimelalamika kutopewa muda wa kutosha kuzipitia, hivyo kushindwa kutoa mapendekezo. Kanuni hizo zinalenga…

Read More

WIZARA YA MADINI, WAFANYABIASHARA WA BARUTI WAJADILI CHANGAMOTO

DODOMA: Kamishna wa Madini Dk Abdulrahman Mwanga ameongoza kikao kazi cha wataalam wa Wizara, Tume ya Madini na wawakilishi wa Umoja Wafanyabiashara wa Baruti Tanzania (TEDA) kilicholenga kujadili changamoto zinazohusiana na biashara ya baruti nchini. Kikao hicho kilichofanyika leo Mei 18, 2024 katika Ofisi za Wizara jijini Dodoma, kimetumika kupokea changamoto, maoni, mapendekezo na ushauri…

Read More

Vyakula hivi vitakusaidia kupona majeraha kwa haraka

Dar es Salaam. Katika ufanyaji wa shughuli za kila siku mtu huweza kuumia kutakapomsababishia majeraha mbalimbali katika mwili. Kwa mujibu wa tovuti ya Wikipedia, majeraha ni vidonda vitokanavyo na ajali ya ghafla ambayo husababisha ngozi kukatwa, kuchomwa au kudhurika kwa namna nyingine. Inapotokea mtu amepata majeraha katika mwili hufanya jitihada mbalimbali zitakazomwezesha kupona kwa haraka,…

Read More

Balile aukwaa uenyekiti wahariri Afrika Mashariki

Jumuiya ya Wahariri wa Afrika Mashariki (EAES), imemchagua Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), kuwa mwenyekiti wa jumuiya hiyo kwa kipindi cha mwaka 2024 – 2025. Pia imemchagua Fitihawok Yewondwossn, kutoka Jukwaa la Wahariri Ethiopia kuwa Makamu wa Rais kwa kipindi hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Balile amechaguliwa baada ya kufanyika Mkutano Mkuu wa…

Read More