Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 18, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 18
Habari

ACT-Wazalendo wasubiri kamati ya uongozi kuamua hatima ya SUK

May 18, 2024 Admin

Unguja. ACT Wazalendo inasubiri kikao cha Kamati ya uongozi ya chama hicho kufanya tathmini ya mwenendo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) ili kuamua

Read More
Michezo

KMKM yainyoa Malindi, Kundemba ikijitafuta ZPL

May 18, 2024 Admin

Chelsea ya wanawake yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu England BAO la dakika 90 lililowekwa kimiani na Salum Akida Shuruku lilimeiwezesha watetezi wa Ligi Kuu Zanzibar

Read More
Habari

Wanandoa watofautishe kupendana na kutaka

May 18, 2024 Admin

Kila mtu humpenda mwingine. Vivyo hivyo, anaweza kumtaka au kutakiwa na mwingine. Hakuna asiyejua kupenda ingawa si wote wanaopenda ifaavyo na inavyotakiwa. Muhimu ni kujua

Read More
Habari

Wanayopitia wanaume, wanawake wanaoachana kumtunza mtoto

May 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati wimbi la watoto wanaolelewa na mzazi mmoja likiendelea kushika kasi kutokana na ongezeko la wazazi na wenza kutengana baada ya kupata

Read More
Habari

Kanuni za uchaguzi bado kizungumkuti

May 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ikipitisha kanuni za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi za mwaka 2024 na kanuni za

Read More
Habari

WIZARA YA MADINI, WAFANYABIASHARA WA BARUTI WAJADILI CHANGAMOTO

May 18, 2024 Admin

DODOMA: Kamishna wa Madini Dk Abdulrahman Mwanga ameongoza kikao kazi cha wataalam wa Wizara, Tume ya Madini na wawakilishi wa Umoja Wafanyabiashara wa Baruti Tanzania

Read More
Habari

Vyakula hivi vitakusaidia kupona majeraha kwa haraka

May 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Katika ufanyaji wa shughuli za kila siku mtu huweza kuumia kutakapomsababishia majeraha mbalimbali katika mwili. Kwa mujibu wa tovuti ya Wikipedia, majeraha

Read More
Habari

PIC YATEMBELEA MAABARA ZA TBS, YAFURAHISHWA UTENDAJI KAZI WAKE

May 18, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeipongeza TBS kwa kazi nzuri yenye weledi hususani

Read More
Habari

Balile aukwaa uenyekiti wahariri Afrika Mashariki

May 18, 2024 Admin

Jumuiya ya Wahariri wa Afrika Mashariki (EAES), imemchagua Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), kuwa mwenyekiti wa jumuiya hiyo kwa kipindi cha mwaka 2024

Read More
Habari

Mawaziri sita wapambana kuiokoa bajeti Wizara ya Maendeleo ya Jamii

May 18, 2024 Admin

Dodoma. Mawaziri na naibu mawaziri sita wamepambana kuiokoa bajeti ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu kwa mwaka 2024/25. Walifanya kazi

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.