Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 19, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 19
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 20,2024

May 19, 2024 Admin

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 20,2024 Featured • Magazeti About the author

Read More
Habari

Mfanyabiashara awaumbua watumishi Arusha, Takukuru waanza kuwahoji

May 19, 2024 Admin

Arusha. Tuhuma za kughushi nyaraka, uchepushaji wa makusanyo ya Serikali na ubadhirifu wa fedha za umma, zimekiweka shakani kibarua watendaji wa Jiji la Arusha wakiongozwa

Read More
Habari

Othman: Umefika wakati Zanzibar kuacha kufanyiwa vitu kwa hisani

May 19, 2024 Admin

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud amesema umefika wakati Wazanzibari kujiamulia na kupanga mipango yao wenyewe ili watu wake waishi kwa uhuru.

Read More
Habari

Kimbunga Ialy kusababisha upepo mkali, mvua kubwa Jumanne

May 19, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema kimbunga Ialy kinachovuma kaskazini mwa kisiwa cha Madagscar, ambacho awali kilidaiwa kingeishia baharini, kinaendelea

Read More
Habari

Makamba aeleza kwa nini vikosi vya Tanzania viko Msumbiji, DRC

May 19, 2024 Admin

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba, amesema Tanzania haitachoka kupeleka askari wake kulinda amani katika nchi

Read More
Habari

BARRICK YADHAMINI KONGAMANO LA AIESEC CHUO CHA UHASIBU ARUSHA

May 19, 2024 Admin

Na Mwandishi wetu, Arusha KAMPUNI ya Barrick nchini, imedhamini na kushiriki katika kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu lililoandaliwa na taasisi ya kuchipua na kuendeleza

Read More
Habari

Ofisa Jeshi la Magereza akwaa kisiki kortini akitaka kurejeshwa kazini

May 19, 2024 Admin

Dodoma. Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma imeyatupa maombi ya askari wa Jeshi la Magereza aliyefutwa kazi mwaka 2022, Joel Runda Marivei ya kutaka Mahakama ifute

Read More
Habari

CHINA IKO TAYARI KUONGEZA MISAADA KWA TANZANIA

May 19, 2024 Admin

China imesema itaendelea kufadhili miradi mipya ya kimkakati ya Tanzania inayoendelea, baada ya kuridhishwa na utekelezwaji ya miradi ya awali. Mkuu wa Shirika la Kimataifa

Read More
Habari

Maumivu ya bei yaja, usafirishaji kwenye meli juu

May 19, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na malalamiko ya kupanda kwa bei za bidhaa za chakula kutokana na kupaa kwa mafuta ya dizeli na petroli, huenda

Read More
Habari

Helikopta iliyombeba Rais Iran yanguka, chanzo hakijajulikana

May 19, 2024 Admin

Helikopta iliyokuwa imembeba Rais wa Iran, Ebrahim Raisi imeripotiwa kuanguka baada ya kupata shida katika kutua. Kwa mujibu wa televisheni ya Taifa ya Iran, helikopta

Read More

Posts pagination

1 2 … 6 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.