Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 20, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 20
Habari

Benki ya NMB yapata idhini kuwa wakala wa madalali wa Soko la Hisa Dar es Salaam

May 20, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu Benki ya NMB imepata idhini kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Mamlaka ya Soko la Mitaji na Dhamana (CSMA) kuwa wakala

Read More
Habari

NCAA YAHITIMISHA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAKUMBUSHO DUNIANI KATIKA BONDE LA OLDUVAI .

May 20, 2024 Admin

  Na Kassim Nyaki, Ngorongoro. Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) leo tarehe 20 Mei,2024 imehitimisha kilele cha wiki ya  maadhimisho ya siku

Read More
Habari

Hatua za Serikali kuongeza matumizi ya Tehama nchini

May 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Serikali imesema ipo katika hatua ya kuainisha mahitaji, sifa na aina ya teknolojia zinazohitajika katika sekta mbalimbali na kuweka muda maalumu kwa

Read More
Habari

SERIKALI YAWEKA WAZI MIKAKATI YA KUKUZA SEKTA YA UBUNIFU NCHINI

May 20, 2024 Admin

a Said Mwishehe, Michuzi TV SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema tayari imeweka mipango mkakati inayohakikisha kunapatikana rasilimali watu yenye ubunifu na

Read More
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 21,2024

May 20, 2024 Admin

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 21,2024 Featured • Magazeti About the author

Read More
Habari

Askofu aliyedaiwa kujinyonga kisa madeni azikwa, anyimwa heshima

May 20, 2024 Admin

Dodoma. Mwili wa Askofu Mkuu wa Makanisa ya Methodist Tanzania (TMC), Askofu Joseph Bundala (55) amezikwa kwenye kanisa la Methodist lililopo Ihumwa jijini Dodoma bila

Read More
Habari

MAAGIZO 10 YA DKT MPANGO KWA WIZARA NA WADAU KUIMARISHA SEKTA YA NYUKI NCHINI.

May 20, 2024 Admin

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Makamu wa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa Maagizo 10 kwa Wizara ikiwemo Wizara ya Maliasili na Utalii,

Read More
Habari

TMA yaeleza kinachoendelea kimbuka Ialy

May 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetabiri kimbunga “Ialy” kinapungua nguvu yake huku kikielekea kaskazini, mbali na pwani ya Tanzania. Kwa

Read More
Burudani

DKT. MPANGO ATOA MAELEKEZO 10 YA KUBORESHA SEKTA YA NYUKI, APONGEZA WIZARA YA MALIASILI

May 20, 2024 Admin

Na John Mapepele. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango ametoa maelekezo kumi yatasaidia kuimarisha sekta ya nyuki

Read More
Habari

Serikali yawaondoa hofu Watanzania kuhusu soko la Kariakoo

May 20, 2024 Admin

Dodoma. Serikali imewaondoa hofu Watanzania kuwa Soko la Afrika Mashariki lilopo katika Jengo la China Plaza, Ubungo jijini, Dar es Salaam halitaua soko la Kariakoo.

Read More

Posts pagination

1 2 … 12 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.