Hatua za Serikali kuongeza matumizi ya Tehama nchini

Dar es Salaam. Serikali imesema ipo katika hatua ya kuainisha mahitaji, sifa na aina ya teknolojia zinazohitajika katika sekta mbalimbali na kuweka muda maalumu kwa ajili ya kupatikana. Hatua hiyo kwa mujibu wa Serikali, inalenga kuhakikisha sayansi na teknolojia inapewa kipaumbele katika maendeleo ya rasilimali watu na ubunifu. Katika utekelezaji wa hilo, vyombo vya habari…

Read More

SERIKALI YAWEKA WAZI MIKAKATI YA KUKUZA SEKTA YA UBUNIFU NCHINI

a Said Mwishehe, Michuzi TV SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema tayari imeweka mipango mkakati inayohakikisha kunapatikana rasilimali watu yenye ubunifu na itakayoendana na sayansi na teknolojia. Katika kufanikisha hilo imesema ipo kwa sasa wapo hatua ya kuainisha mahitaji, sifa na aina ya teknolojia zinazohitajika katika sekta mbalimbali na kuweka muda maalum…

Read More

TMA yaeleza kinachoendelea kimbuka Ialy

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetabiri kimbunga “Ialy” kinapungua nguvu yake huku kikielekea kaskazini, mbali na pwani ya Tanzania. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo jioni Jumatatu, Mei 20, 2024 na TMA kuonesha mwenendo wake imesema kimbunga hicho kinatarajiwa kuisha nguvu yake kabisa usiku wa kuamkia keshokutwa Jumatano, Mei 22,…

Read More

Serikali yawaondoa hofu Watanzania kuhusu soko la Kariakoo

Dodoma. Serikali imewaondoa hofu Watanzania kuwa Soko la Afrika Mashariki lilopo katika Jengo la China Plaza, Ubungo jijini, Dar es Salaam halitaua soko la Kariakoo. Hayo yamesemwa leo Jumatatu Mei 20, 2023 na Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Ashatu Kijaji wakati wa semina ya wabunge katika ukumbi wa Pius Msekwa. Semina hiyo ilihusisha taasisi…

Read More