Marekani yajitenga na safari ya anasa ya Rais Ruto

Nairobi. Serikali ya Marekani imefafanua kuwa haijaidhinisha malipo ya ndege binafsi ya Rais wa Kenya, William Ruto kwenda Marekani. Rais Ruto ameanza ziara ya kiserikali ya siku nne nchini Marekani. Aliondoka nchini Kenya Jumapili, Mei 19, 2024. Katika mujibu wa taarifa ya leo Jumanne, Mei 21, 2024, Msemaji wa Ubalozi wa Marekani jijini Nairobi, Andrew…

Read More

Kanuni za uchaguzi moto wadau, TLS kutua kortini

Dar es Salaam. Siku nne baada ya baadhi ya wadau kuilalamikia Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) wakidai kutopewa muda wa kutosha kuchambua na kutoa maoni kuhusu kanuni za uchaguzi, Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) kimeeleza kusudio la kuishitaki. Kanuni hizo ni pamoja na za INEC za mwaka 2024 na Kanuni za Uboreshaji…

Read More

MAJALIWA: VYOMBO VYA HABARI VIJIEPUSHE NA TAARIFA ZA UCHOCHEZI

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka mamlaka zinazohusika na usimamizi wa sekta ya habari ziendelee kusimamia vyombo vya habari vizingatie maadili na kujiepusha na uchapishaji wa taarifa na picha zinazochochea uvunjaji wa maadili, mila na desturi za Kitanzania. Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa habari za mitandao ya kijamii na vyombo vya…

Read More

Aliyeua ndugu wawili kwa petroli ahukumiwa kunyongwa

Moshi. Hivi unajua madhara ya kujichukulia sheria mkononi? Dereva bodaboda Valerian Massawe, amehukumiwa adhabu ya kifo kwa kuwaua kikatili ndugu wawili, waliowatuhumu kuiba pikipiki. Tukio hilo lilitokea Februari 9, 2022 huko Kibosho Wilaya ya Moshi, kundi la watu liliwakamata ndugu hao, kuwashambulia kwa visu na mawe kisha kuwatupa kwenye dimbwi na kuwamwagia petroli kisha kuwachoma…

Read More

Majaliwa: Vyombo vya habari kemeeni kauli za ubaguzi

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amevitaka vyombo vya habari vya mitandao ya kijamii kukemea kauli ya aina yoyote ya ubaguzi inayolenga kulipasua Taifa. Amesema Tanzania imejipambanua kwa kulinda tunu za umoja, amani na mshikamano, hivyo mitandao ya kijamii ina nafasi kubwa ya kuhakikisha inaunga mkono jitihada za kuzilinda. Majaliwa ameeleza hayo leo Jumanne…

Read More

Aliyeua ndugu wawili kwa petroli wahukumiwa kunyongwa

Moshi. Hivi unajua madhara ya kujichukulia sheria mkononi? Dereva bodaboda Valerian Massawe, amehukumiwa adhabu ya kifo kwa kuwaua kikatili ndugu wawili, waliowatuhumu kuiba pikipiki. Tukio hilo lilitokea Februari 9, 2022 huko Kibosho Wilaya ya Moshi, kundi la watu liliwakamata ndugu hao, kuwashambulia kwa visu na mawe kisha kuwatupa kwenye dimbwi na kuwamwagia petroli kisha kuwachoma…

Read More

Aliyeua ndugu wawili kwa petroli wahukumiwa kunyongwa

Moshi. Hivi unajua madhara ya kujichukulia sheria mkononi? Dereva bodaboda Valerian Massawe, amehukumiwa adhabu ya kifo kwa kuwaua kikatili ndugu wawili, waliowatuhumu kuiba pikipiki. Tukio hilo lilitokea Februari 9, 2022 huko Kibosho Wilaya ya Moshi, kundi la watu liliwakamata ndugu hao, kuwashambulia kwa visu na mawe kisha kuwatupa kwenye dimbwi na kuwamwagia petroli kisha kuwachoma…

Read More