
Wafugaji, wakulima kupata bima | Mwananchi
Dar es Salaam. Wakati mchango wa sekta ya mifugo katika Pato la Taifa ukishuka kutoka asilimia saba mwaka 2021 hadi asilimia 6.7 mwaka 2022, Kampuni ya Bima ya CRDB na ACRE Africa zimesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) kwa ajili ya kuikuza sekta hiyo. Takwimu za kushuka kwa mchango wa sekta hiyo, zimetolewa katika hotuba za…