Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 24, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 24
Habari

Sh9 bilioni kujenga kituo jumuishi utoaji haki Pemba

May 24, 2024 Admin

Pemba. Kujengwa kwa kituo jumuishi cha utoaji wa haki za kimahakama Kisiwani Pemba, kutawaondolea usumbufu wananchi kufuata huduma ikiwamo ukataji rufaa.  Mtendaji Mkuu wa Mahakama

Read More
Habari

China yapeleka ndege za kivita katika anga ya Taiwan – DW – 24.05.2024

May 24, 2024 Admin

Kwa mujibu wa televishini ya China CCTV, kwenye jaribio hilo ndege za mashambulizi na vikosi vya wana maji zilionekana zikifanya mashambulizi yasio halisi. Kadhalika zilionekana kupanga safu

Read More
Habari

Vijana 2,000 kujadili ajenda, nafasi za uchaguzi 2024/25  

May 24, 2024 Admin

Dodoma. Zaidi ya vijana 2,000 kutoka vyama vya siasa, asasi za kiraia na Serikali wanatarajiwa kushiriki mdahalo wa kitaifa wa vijana  kutoa mapendekezo kwa Rais

Read More
Habari

Tanzania, Estonia kubadilishana uzoefu matumizi akili bandia (AI)

May 24, 2024 Admin

Serikali ya Tanzania inatarajia kunufaika kupitia ushirikiano na nchi ya Estonia katika masuala ya Tehama na Usalama Mtandao ikiwemo kubadilishana uzoefu kwenye masuala ya akili bandia

Read More
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 25,2024

May 24, 2024 Admin

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 25,2024 Featured • Magazeti About the author

Read More
Habari

Mungai ashinda uenyekiti Chadema Iringa

May 24, 2024 Admin

Iringa. Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Mkoa wa Iringa, William Mungai ameshinda nafasi hiyo kwa mara nyingine. Mungai ameshinda nafasi hiyo baada ya kuzoa kura

Read More
Michezo

NYUMA YA PAZIA: Arne Slot karibu katika tanuri la moto Anfield

May 24, 2024 Admin

NA filimbi ya mwisho itapigwa na mwamuzi wa pambano la baadaye leo kati ya Manchester United na Manchester City. Mwamuzi atakayepuliza filimbi hiyo ni Andrew

Read More
Habari

Uchaguzi Chadema Njombe wavurugika tena

May 24, 2024 Admin

Dar es Salaam. Uchaguzi wa kumpata mwenyekiti wa Mkoa wa Njombe, uliowakutanisha Rose Mayemba na Ahadi Tweve umevunjika baada ya kutokea ugomvi baina ya pande

Read More
Habari

Wabunge wacharuka migogoro ya ardhi, fidia kwa wananchi

May 24, 2024 Admin

Dodoma. Wabunge wamecharuka kuhusu migogoro ya ardhi na ucheleweshaji wa fidia kwa wananchi wanaopisha maeneo kwa ajili ya miradi. Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara

Read More
Habari

JKT laita vijana waliomaliza kidato cha sita kambini

May 24, 2024 Admin

Dodoma. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limewataka wazazi wa vijana wanaoitwa kujiunga na mafunzo kwa mujibu wa sheria mwaka 2024 wasikubali kutapeliwa kwa kutozwa fedha.

Read More

Posts pagination

1 2 … 10 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.