VIDEO: Lishe duni kwa vijana inavyoathiri afya ya uzazi

Dar es Salaam. Lishe duni ya vijana rika la balehe inatajwa kuwa chanzo cha matatizo ya afya ya uzazi miongoni mwa wanawake na wanaume. Upungufu wa virutubisho muhimu kwa watoto na vijana unaelezwa kuathiri via vya uzazi. Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Lishe, Wizara ya Afya, Neema Joshua anasema udumavu, uzito pungufu, ukondefu, uzito kupita…

Read More

Waliomuua mkulima mbele ya mwanaye wahukumiwa kunyongwa

Sumbawanga/Mbeya. Ndugu wawili wa familia moja kutoka ukoo wa Kapufi, Jofrey Dominiko na Elasto Dominiko, wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kumuua Charles Mwanazumi katika mgogoro wa kugombea shamba. Mauaji hayo yalifanyika Desemba 10, 2020 katika Kijiji cha Sandula Wilaya ya Sumbawanga huku mwanaye Annek Mwanazumi akishuhudia, wakati alipokuwa shambani na baba yake eneo…

Read More

DC Mpogolo asisitiza usimamizi wa maadili kwa wanafunzi

Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amewataka walimu ndani ya wilaya hiyo kusimamia suala la  maadili ya wanafunzi. Amesema walimu wanapaswa kusimamia suala la maadili kuanzia mavazi wanayovaa na tabia za wanafunzi hao, ambapo wapo baadhi yao wanatembea na vitu vyenye nchi kali zikiwamo bisibisi. Kauli hiy inakuja ikiwa ni wiki…

Read More

Dodoma Jiji yaua, Prisons sasa uhakika

MAAFANDE wa Tanzania Prisons imejihakikisha kusalia katika Ligi Kuu Bara baada ya leo kupata sare ya 2-2 ikiwa ugenini mbele ya Namungo na kutuliza presha za mashabiki ambao mwanzoni mwa msimu waliishi kwa mawazo kutokana na timu kufanya vibaya. Matokeo hayo yameifanya Prisons kufikisha pointi 34 na kusalia nafasi ya tano nyuma ya KMC, hivyo…

Read More

Meridianbet yawafikia wakazi wa Kigamboni

MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni yaMeridianbet wamefanikiwa kufika eneo la mji mwemamaeneo ya Kigamboni kwajili ya kutoa msaada kwenyemoja ya Zahanati ambayo inapatikana maeneo hayo. Mabingwa hao wa michezo ya kubashiri pia walitoa msaada waReflectors zinazopatikana katika eneo hilohilo la Mji mwemakwa Bodaboda wanaopatikana katika maeneo hayo ilikuwasaidia katika shughuli zao za kila siku. Meridianbet…

Read More

Wadau wapendekeza ubunge wa viti maalumu ufutwe

Mwanza. Wadau wa siasa wamependekeza kufutwa kwa nafasi za ubunge wa viti maalumu kwa kile kinachotajwa nafasi hizo zinachangia ukatili, hazileti dhana ya usawa wa kijinsia na kuigharimu Serikali zaidi ya Sh200 bilioni kila baada ya miaka mitano. Pendekezo hilo limetolewa leo Jumamosi, Mei 25, 2024 katika mdahalo wa wazi wenye lengo la kujadili mchakato…

Read More

Aziz KI: Ishu ya mkataba mpya nawaachia Yanga

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Aziz KI amesema kuhusu suala la kuongeza mkataba mpya ishu hiyo anaichia timu hiyo ambayo ameitumikia kwa msimu wa pili. Aziz KI hadi sasa analingana mabao na Feisal Salum kwenye vita ya ufungaji katika Ligi Kuu Bara kila mmoja akiweka kambani mabao 18. Akizungumza baada ya timu hiyo kukabidhiwa Kombe la Ligi…

Read More

Mahakama yawaruhusu Kitilya, Shose na Sioi kupinga makubaliano na DPP

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani imewaruhusu Shose Sinare, Harry Kitilya na Sioi Solomon kupinga hukumu iliyowatia hatiani katika kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa ikiwakabili. Mahakama imewaruhusu kufungua shauri la maombi, kuiomba Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi itengue hukumu yake   iliyotokana na kukiri kwao makosa kutokana na makubalino (plea bargaining),…

Read More

SERIKALI KUREJESHA MIUNDOMBINU ILIYOATHIRIKA NA MVUA-MAJALIWA

-Asisitiza mpango wa Serikali wa kukuza sekta ya kilimo WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imejipanga kuendelea kurejesha miundombinu yote ya barabara zilizoathiriwa na mvua zilizonyesha nchini. Amesema hayo leo (Jumamosi Mei 25, 2024) alipokagua daraja lililopo katika kijiji cha Nambilanje ambalo limeharibika kutokana na mafuriko. Daraja hilo linaunganisha Wilaya za Liwale na Ruangwa….

Read More