Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 25, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 25
Habari

VIDEO: Lishe duni kwa vijana inavyoathiri afya ya uzazi

May 25, 2024 Admin

Dar es Salaam. Lishe duni ya vijana rika la balehe inatajwa kuwa chanzo cha matatizo ya afya ya uzazi miongoni mwa wanawake na wanaume. Upungufu

Read More
Habari

Waliomuua mkulima mbele ya mwanaye wahukumiwa kunyongwa

May 25, 2024 Admin

Sumbawanga/Mbeya. Ndugu wawili wa familia moja kutoka ukoo wa Kapufi, Jofrey Dominiko na Elasto Dominiko, wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kumuua Charles Mwanazumi

Read More
Habari

DC Mpogolo asisitiza usimamizi wa maadili kwa wanafunzi

May 25, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amewataka walimu ndani ya wilaya hiyo kusimamia suala la  maadili ya wanafunzi. Amesema walimu wanapaswa

Read More
Michezo

Dodoma Jiji yaua, Prisons sasa uhakika

May 25, 2024 Admin

MAAFANDE wa Tanzania Prisons imejihakikisha kusalia katika Ligi Kuu Bara baada ya leo kupata sare ya 2-2 ikiwa ugenini mbele ya Namungo na kutuliza presha

Read More
Habari

Meridianbet yawafikia wakazi wa Kigamboni

May 25, 2024 Admin

MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni yaMeridianbet wamefanikiwa kufika eneo la mji mwemamaeneo ya Kigamboni kwajili ya kutoa msaada kwenyemoja ya Zahanati ambayo inapatikana maeneo hayo.

Read More
Habari

Wadau wapendekeza ubunge wa viti maalumu ufutwe

May 25, 2024 Admin

Mwanza. Wadau wa siasa wamependekeza kufutwa kwa nafasi za ubunge wa viti maalumu kwa kile kinachotajwa nafasi hizo zinachangia ukatili, hazileti dhana ya usawa wa

Read More
Habari

RAIS SAMIA ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BARAZA LA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA AU

May 25, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika

Read More
Michezo

Aziz KI: Ishu ya mkataba mpya nawaachia Yanga

May 25, 2024 Admin

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Aziz KI amesema kuhusu suala la kuongeza mkataba mpya ishu hiyo anaichia timu hiyo ambayo ameitumikia kwa msimu wa pili. Aziz KI

Read More
Habari

Mahakama yawaruhusu Kitilya, Shose na Sioi kupinga makubaliano na DPP

May 25, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani imewaruhusu Shose Sinare, Harry Kitilya na Sioi Solomon kupinga hukumu iliyowatia hatiani katika kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa ikiwakabili.

Read More
Habari

SERIKALI KUREJESHA MIUNDOMBINU ILIYOATHIRIKA NA MVUA-MAJALIWA

May 25, 2024 Admin

-Asisitiza mpango wa Serikali wa kukuza sekta ya kilimo WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imejipanga kuendelea kurejesha miundombinu yote ya barabara zilizoathiriwa na

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.