ACT-Wazalendo yapanga kufumua mikataba, CCM yasema wanatafuta huruma kisiasa

Unguja. Chama cha ACT Wazalendo kimesema kuna mikataba mingi mibovu inayoigharimu nchi na kwamba kikiingia madarakani mwakani kitahakikisha inafumuliwa na kuweka mipya. Kauli hiyo iliyotolewa na Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Zanzibar, Ismali Jussa imejibiwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), kikisema chama hicho hakina uwezo huo, bali kinalenga kupata huruma ya wananchi na kutafuta umaarufu wa kisiasa…

Read More

CCM YAZINDUA KAMPENI UCHAGUZI MDOGO KWAHANI Z’BAR.

 NA MWANDISHI WETU,ZANZIBAR.   NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa, amewasihi Wananchi wa Jimbo la Kwahani kufanya maamuzi sahihi ya kumchagua mgombea aliyesimamishwa na CCM kwani ndiye mwenye uwezo wa kuendeleza utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/2025 kwa vitendo.   Nasaha hizo amezitoa wakati akizindua kampeni za…

Read More

Fedha zadaiwa chanzo danadana mradi SGR

Dar es Salaam. Hofu  ya kukamilika kwa mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) inaendelea kupata mashiko, kufuatia kuendelea kushuhudiwa kwa ahadi zisizotimizwa za kukamilishwa utekelezwaji wa vipande mbalimbali vya ujenzi huo. Sambamba na ahadi zisizotimizwa, Mwananchi imeshuhudia wafanyakazi katika kambi mbalimbali wakiondolewa na mkandarasi kwa kile kinachodaiwa kuwa  Serikali haina fedha ya kumlipa kuendelea na…

Read More

Jurgen Klopp: Anapumzika na hela zake, jamii, bata vinamsubiri

LIVERPOOL, ENGLAND: JURGEN Klopp ameondoka England baada ya kudumu Liverpool kwa misimu tisa na anahitaji kupumzika. Klopp alisema ameushiwa nguvu ya kuendelea na kazi hiyo na sasa anaenda kutuliza akili baada ya kuichosha muda mrefu akisimamia mafanikio ya miamba hiyo Majogoo wa Liverpool na kwa moyo kunjufu klabu nzima na mashabiki wameridhika. Licha ya Liverpool…

Read More

Lissu: Ugumu wa maisha utamalizika tukipata Katiba mpya

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Bara, Tundu Lisu amesema suluhisho la kumaliza ugumu wa maisha uliotamalaki nchini Tanzania ni kwa wananchi wakubali kuanza kutafuta Katiba Mpya. Amesema ugumu huo unachangiwa na upungufu wa Katiba iliyopo kiasi kwamba imezalisha utawala wa viongozi wenye miungu wengi wanaopanga maisha ya watu badala…

Read More

Serikali imeonyesha nia nje, kazi kwa TFF

WIKI iliyopita Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo iliwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi yake kwa mwaka 2024/25 yaliyoonyesha ongezeko kubwa la zaidi ya asilimia 700 kutoka bajeti yake iliyozoeleka iliyokuwa ya takriban Sh35 Bilioni. Bajeti ya safari hii imefikia Sh285.3 Bilioni ukilinganisha na ya mwaka uliopita wa fedha iliyokuwa Sh35.4 Bilioni. Akiwasilisha bajeti…

Read More