
Zanzibar yasajili laini za simu 849,000
Unguja. Zanzibar imesajili laini za simu za mezani na mkononi 849,082 sawa na kadirio la watumiaji 446,885. Kati ya laini hizo, idadi ya watumiaji wa simu za mkononi ni 439,470 na simu za mezani ni 7,415 ambao ni sawa na asilimia 23.6 na asilimia 0.4 ya wakazi wa Zanzibar. Kwa mujibu wa sensa ya watu na…