Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 28, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 28
Habari

Kampuni za Ufaransa zatua nchini kusaka fursa za uwekezaji

May 28, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ujumbe wa wafanyabiashara kutoka kampuni 22 wakiambatana na maofisa wa serikali kutoka nchini Ufaransa, wapo nchini kutafuta fursa mpya za biashara katika

Read More
Habari

MUHIMBILI KINARA UPANDIKIZAJI ULOTO KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA

May 28, 2024 Admin

    Hospitali ya Taifa Muhimbli-Upanga na Mloganzila imeendelea kuandika historia Afrika Mahariki na Kusini mwa Jangwa la Saraha katika matibabu ya ubingwa bobezi kwa

Read More
Michezo

Aziz Ki abeba tuzo ufungaji bora Bara 2023/24

May 28, 2024 Admin

DAKIKA za jioni kabisa. Vita imeisha. Stephane Aziz Ki wa Yanga ameibuka mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara katika mechi ya mwisho wa msimu akimzidi

Read More
Habari

Rodrigo apuuzia uzushi wa kuhama Real Madrid.

May 28, 2024 Admin

Nyota wa Real Madrid aliyekadiriwa kuwa na thamani ya Euro milioni 100, Rodrigo, amepuuza uvumi wa kujiondoa kufuatia kauli yake ya hivi majuzi. Rodrigo, fowadi

Read More
Habari

T: Utata akidaiwa kupelekwa akiwa hai mochwari

May 28, 2024 Admin

Moshi. Ni tukio la kutatanisha. Hii ni baada ya   mzee mmoja aliyejulikana kwa jina la Saimon Macha kudaiwa kwamba jana akiwa hospitalini KCMC alikokuwa amelazwa,

Read More
Habari

SERIKALI YAPUNGUZA KODI KWENYE VIFAA VYA MAZOEZI TIBA

May 28, 2024 Admin

 Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma. Serikali imesema kuwa msamaha kwenye vifaa tiba vya mazoezi yaani physiotherapy hutolewa kwa hospitali zilizosajiliwa na kuidhinishwa na Waziri wa

Read More
Michezo

Hatimaye Azam FC Ligi ya Mabingwa Afrika

May 28, 2024 Admin

SAFARI ya Azam FC kuisaka nafasi ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao imefanikiwa baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi

Read More
Habari

Messi kuonekana kwenye “Bad Boys 4” trailer.

May 28, 2024 Admin

Mashabiki waliachwa na mshangao kwa kuonekana kwa Lionel Messi katika trela ya hivi punde ya Bad Boys 4, ambapo alizungumza Kiingereza hadharani kwa mara ya

Read More
Habari

Umewahi kuwasikia wapiga debe wa kukupeleka ‘gesti’

May 28, 2024 Admin

Mbeya. Wakati wapiga debe kwa baadhi ya mikoa wakiwa wanalalamikiwa  kuwabughudhi abiria katika vituo vikuu vya mabasi, hali ni tofauti mkoani  Mbeya kwani wamekuwa mkombozi

Read More
Habari

ATE, TUCTA, VETA Kuimarisha ujuzi Wahitimu wa Mafunzo ya Ufundi

May 28, 2024 Admin

Mtendaji Mkuu wa Chama  cha waajiri Tanzania (ATE) Suzanne Ndomba Doran na Katibu Mkuu wa Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Herny Nkunda wakisaini mikataba na  mikataba waliyosaini kwaajili ya kuimarisha Mafunzo

Read More

Posts pagination

1 2 … 9 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.