Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: May 30, 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • 30
Habari

Lema kutotetea nafasi ya Uenyekiti Kaskazini, makada watofautiana

May 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini anayemaliza muda wake, Godbless Lema amesema hatagombea tena kiti hicho, katika

Read More
Michezo

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAPONGEZWA KWA ONESHO MAALUM LA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII.

May 30, 2024 Admin

Na Jane Edward, Dodoma Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa ubunifu wa kuandaa Maonesho maalumu

Read More
Habari

Waziri Mkuu kufanya ziara ya siku tatu Geita

May 30, 2024 Admin

Chato.  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kufanya ziara ya siku tatu mkoani Geita kuanzia Mei 31, hadi Juni 02, 2024. Lengo la ziara hiyo ya

Read More
Habari

WADAU WA UNUNUZI WASHAURIWA KUZINGATIA UADILIFU, UAMINIFU NA HAKI

May 30, 2024 Admin

Serikali imewapa changamoto wadau wa Sekta ya ununuzi wa umma kuhakikisha wanazingagtia misingi ya uadilifu, uaminifu na haki katika michakato ya ununuzi wa umma ili

Read More
Habari

Spika Bunge la Uganda apigwa marufuku kukanyaga Marekani

May 30, 2024 Admin

Kampala. Spika wa Bunge la Uganda, Anita Among ni miongoni mwa vigogo  watano nchini humo walipigwa marufuku kuingia nchini Marekani kwa madai ya kuhusika na

Read More
Habari

SERIKALI YAELEZA NAMNA WALIMU WAPYA WATAKAVYOAJIRIWA

May 30, 2024 Admin

Na Oscar Assenga, TANGA SERIKALI imetangaza mkakati wa uboreshaji wa elimu nchini huku ikieleza walimu ambao wataajiriwa ni wale wataokuwa wamefanya mitihani yao na kufaulu

Read More
Habari

Manchester United wanakabiliwa na kigugumizi katika harakati za kumtafuta Jarrad Branthwaite.

May 30, 2024 Admin

Everton haitazingatia mikataba yoyote ya bei iliyopunguzwa kwa Jarrad Branthwaite msimu huu wa joto. Iliripotiwa jana Manchester United wako katika nafasi nzuri ya kumfanya beki

Read More
Habari

Necta yafuta maswali ya kuchagua hisabati mitihani shule za msingi

May 30, 2024 Admin

Serikali inazidi kufanyia kazi maoni ya wadau wa elimu kwa lengo  la kuboresha mfumo wa elimu nchini. Sasa  imetangaza kuachana na mfumo wa kutahini somo

Read More
Habari

WANAOFANYAKAZI ZA UNUNUZI NA UGAVI BILA KUSAJILIWA NA PSPTB KIKAANGONI

May 30, 2024 Admin

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Chande (Mb.) ameagiza Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) ihakikishe watu wanaofanyakazi za Ununuzi na Ugavi wamesajiliwa

Read More
Habari

Arsenal na Benjamin Sesko mambo safi.

May 30, 2024 Admin

Benjamin Sesko ‘amekubali’ uhamisho wa Arsenal msimu huu wa joto huku Gunners wakipanga kumnunua mshambuliaji wa RB Leipzig kwa pauni milioni 45. Mshambulizi wa RB

Read More

Posts pagination

1 2 … 11 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.