Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini anayemaliza muda wake, Godbless Lema amesema hatagombea tena kiti hicho, katika
Day: May 30, 2024

Na Jane Edward, Dodoma Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa ubunifu wa kuandaa Maonesho maalumu

Chato. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kufanya ziara ya siku tatu mkoani Geita kuanzia Mei 31, hadi Juni 02, 2024. Lengo la ziara hiyo ya

Serikali imewapa changamoto wadau wa Sekta ya ununuzi wa umma kuhakikisha wanazingagtia misingi ya uadilifu, uaminifu na haki katika michakato ya ununuzi wa umma ili

Kampala. Spika wa Bunge la Uganda, Anita Among ni miongoni mwa vigogo watano nchini humo walipigwa marufuku kuingia nchini Marekani kwa madai ya kuhusika na

Na Oscar Assenga, TANGA SERIKALI imetangaza mkakati wa uboreshaji wa elimu nchini huku ikieleza walimu ambao wataajiriwa ni wale wataokuwa wamefanya mitihani yao na kufaulu

Everton haitazingatia mikataba yoyote ya bei iliyopunguzwa kwa Jarrad Branthwaite msimu huu wa joto. Iliripotiwa jana Manchester United wako katika nafasi nzuri ya kumfanya beki

Serikali inazidi kufanyia kazi maoni ya wadau wa elimu kwa lengo la kuboresha mfumo wa elimu nchini. Sasa imetangaza kuachana na mfumo wa kutahini somo

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Chande (Mb.) ameagiza Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) ihakikishe watu wanaofanyakazi za Ununuzi na Ugavi wamesajiliwa

Benjamin Sesko ‘amekubali’ uhamisho wa Arsenal msimu huu wa joto huku Gunners wakipanga kumnunua mshambuliaji wa RB Leipzig kwa pauni milioni 45. Mshambulizi wa RB