Aliyeua ndugu wawili kwa petroli wahukumiwa kunyongwa

Moshi. Hivi unajua madhara ya kujichukulia sheria mkononi? Dereva bodaboda Valerian Massawe, amehukumiwa adhabu ya kifo kwa kuwaua kikatili ndugu wawili, waliowatuhumu kuiba pikipiki. Tukio hilo lilitokea Februari 9, 2022 huko Kibosho Wilaya ya Moshi, kundi la watu liliwakamata ndugu hao, kuwashambulia kwa visu na mawe kisha kuwatupa kwenye dimbwi na kuwamwagia petroli kisha kuwachoma…

Read More

Aliyeua ndugu wawili kwa petroli wahukumiwa kunyongwa

Moshi. Hivi unajua madhara ya kujichukulia sheria mkononi? Dereva bodaboda Valerian Massawe, amehukumiwa adhabu ya kifo kwa kuwaua kikatili ndugu wawili, waliowatuhumu kuiba pikipiki. Tukio hilo lilitokea Februari 9, 2022 huko Kibosho Wilaya ya Moshi, kundi la watu liliwakamata ndugu hao, kuwashambulia kwa visu na mawe kisha kuwatupa kwenye dimbwi na kuwamwagia petroli kisha kuwachoma…

Read More

NAIBU WAZIRI SILINDE ATOA TAMKO WENYE MADENI YA CHAI

NAIBU Waziri wa Kilimo, David Silinde ameagiza wamiliki wa viwanda mbalimbali nchini vya chai kuhakikisha wanalipa madeni ya wakulima wa chai na Bodi ya Chai Tanzania itoe ripoti serikalini namna ambavyo malipo hayo yatafanyika ifikapo Juni mwaka huu. Silinde pia amesema wizara hiyo inataka inajenga viwanda saba vipya vya chai nchini kwa lengo la kuondoa…

Read More

Pokou, Simba freshi asubiri tiketi atue Dar

KIUNGO wa Asec Mimosas Serge Pokou amesema anasubiri tiketi ya ndege kutoka Simba ili atue Dar es Salaam. Hivi karibuni gazeti hili liliripoti kuwa Simba imefanya mazungumzo na kiungo huyo panga pangua wa Asec na wamekubaliana sehemu kubwa ya dili hilo, ili mwamba huyo aje akakipige kwenye kikosi hicho msimu ujao. Tayari soko la wachezaji…

Read More

Walioua, kuteketeza ndugu wawili kwa petroli wahukumiwa kunyongwa

Moshi. Hivi unajua madhara ya kujichukulia sheria mkononi? Dereva bodaboda Valerian Massawe, amehukumiwa adhabu ya kifo kwa kuwaua kikatili ndugu wawili, waliowatuhumu kuiba pikipiki. Tukio hilo lilitokea Februari 9, 2022 huko Kibosho Wilaya ya Moshi, kundi la watu liliwakamata ndugu hao, kuwashambulia kwa visu na mawe kisha kuwatupa kwenye dimbwi na kuwamwagia petroli kisha kuwachoma…

Read More

SWAHILI PLUS KUWANYANYUA WASANII WACHANGA BONGOMUVI

WASANII Washauriwa kutengeneza kazi zenye maudhui ya kiasili na kutumia lugha ya Kiswahili fasaha ili kuendelea Kutangaza lugha hiyo Kimataifa na kuvitangaza vivutio vilivyopo Tanzania zaidi. Akizungumza na wadau wa sanaa nchini wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya “Kamatia Furushi” pamoja na chaneli mpya yenye maudhui ya Filamu,katuni kwa watoto “Swahili plus” ,St Toons,St Toonie,St…

Read More

Simba yaendelea kukimbiza Azam | Mwanaspoti

Simba imeendelea kuifukuza Azam FC baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1, dhidi ya Geita Gold kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa Uwanja wa Azam Complex. Ushindi huo umeifanya Simba kufikisha pointi 63 sawa na Azam ambayo imebaki juu nafasi ya pili kwa faida ya tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa ambapo…

Read More

Polisi waongeza siku tano kwa waombaji wa ajira 

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Tanzania limetangaza kuongeza muda wa siku tano, kwa vijana wenye sifa ya kuomba ajira kwenye jeshi hilo.Katika tangazo lilitolewa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania leo Mei 21,2024 limeeleza kuwa kutokana na changamoto ya mtandao iliyoendelea kujitokeza, hivyo  kwa vijana wenye sifa na nia ya kujiunga na jeshi…

Read More