MZEE WA KALIUA: Simba inahitaji watu wawili tu

MOJAWAPO kati ya semi za Kiafrika ni ile inayosema kwamba “kama unataka kwenda mbali, nenda na wenzako na kama unataka kwenda haraka, nenda peke yako.” Huu ni wakati wa Klabu ya Simba kwenda haraka. Ni wakati wa kupunguza idadi ya watu wanaofanya uamuzi. Ni muda wa kuwa na wafanya uamuzi wachache. Mambo ya kamati nyingi…

Read More

Serikali yageukia zao la chai

Na Ramadhan Hassan, Dodoma SERIKALI imeweka mikakati ya kuongeza uzalishaji wa zao la chai kwa kufufua mashamba yaliyotelekezwa na kujenga viwanda saba vya kuchakata zao hilo vitakavyomilikiwa na wakulima wadogo. Hayo yameelezwa leo Jumanne Mei 21,2024 jijini hapa na Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde, wakati akizungumza katika Siku ya Chai Duniani. Silinde amesema wanamshukuru…

Read More

Baba kizimbani akidaiwa kufanya ngono na mtoto wake

Mwanza. Mkazi wa Mtaa wa Nyakato wilayani Ilemela jijini hapa, Bashiri Mohamed (35) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilemela mkoani humo akikabiliwa na shtaka la kufanya ngono na binti yake mwenye umri wa miaka (16). Bashiri amepandishwa kizimbani mahakamani hapo Leo Jumanne, Mei 21, 2024 na kusomewa shtaka hilo na mwendesha mashtaka, Wakili…

Read More

Mwadui yarejea Championship, Copco ndo basi tena

Mwanza. TIMU ya Mwadui FC imefanikiwa kupanda daraja kwenda Championship baada ya kuifunga Copco FC kwa jumla ya mabao 5-2 kwenye mchezo wa mtoano (play off) kusaka nafasi ya kupanda na kubaki Championship. Mwadui iliyoshuka daraja kutoka Championship msimu wa mwaka 2020/2021 imepanda daraja leo Mei 21, 2024 baada ya sare ya mabao 2-2 na…

Read More

Israel yafanya mashambulizi Kaskazini na Kusini mwa Gaza – DW – 21.05.2024

Katika kambi ya wakimbizi ya Jabalia jeshi la Israel lilitumia matingatinga kuyasambaratisha maduka na majengo mengine karibu na soko katika operesheni inayoendelea iliyoanza wiki mbili zilizopita. Israel inadai kuwa imerejea kwenye kambi hiyo ambako miezi miwili iliyopita ilidai kuwa ililisambaratisha kundi la Hamas. Hayo yakijiri Wizara ya afya ya Palestina imeripoti kuwa vikosi vya Israel…

Read More

Ded asimulia mfumo wa ununuzi ulivyompatia tuzo ya Sh10 milioni

Mwanza. Wakati baadhi ya watumishi wa umma wakidaiwa kukwepa matumizi ya mfumo wa ununuzi wa umma wa kielektroniki (NeST), Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza, Happiness Msanga ameelezea namna mfumo huo ulivyompatia Sh10 milioni kama motisha kwa kufanya vizuri kati ya halmashauri zote nchini. Baadhi ya sababu zilizoifanya Serikali kuzitaka taasisi…

Read More

Fei Toto amwacha Azizi Ki, Kagera yapigwa nyumbani

Timu ya Azam FC, imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamhyo, Mbweni, Dar es Salaam. Mabao ya mchezo huo yamefungwa na mshambuliaji Abdul Suleiman ‘Sopu’ dakika ya 30, huku Feisal Salum ‘Fei Toto’ akipiga msumari wa mwisho dakika ya…

Read More

Vyama vya ushirika 334 vyafilisika Geita

Bukombe. Vyama vya ushirika 334 kati ya 590 vilivyopo mkoani Geita vimefilisika na kushindwa kujiendesha kutokana na kukosa mitaji toshelevu Kufilisika kwa vyama hivyo kumetokana na mabadiliko ya sheria ndogo za huduma ndogo za fedha zinazotaka chama kiwe na mtaji usiopungua Sh10 milioni pamoja na kuwa kwenye mfumo wa ‘move’, jambo lililofanya vyama vingi kukosa…

Read More

Msitumie Dawa Kiholela – Waziri Ummy

Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini Mhe Ummy Mwalimu ameitaka jamii kuacha matumizi ya dawa za antibiotik kiholela jambo ambalo linapeleka usugu wa vimelea vya magonjwa. Waziri ummy ameyasema hayo katika mafunzo ya kuwajengea uwezo viongozi wa jamii kuhusu kuimarisha huduma za afya ngazi ya msingi kwa ushirikiano wa taasisi ya…

Read More