Zanzibar kuanza kutoa huduma za maktaba kimtandao

Unguja. Ili kukabiliana na uhaba wa vitabu vya kusomea na kujifunzia katika shule za msingi na sekondari, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar (Wema), imetenga Sh200 milioni kutengeneza mifumo maalumu ya maktaba mtandao. Mifumo hiyo ijulikanayo E-Library system & Library Management System, itawezesha wanafunzi kupata maudhui mbalimbali kwa njia ya mtandao. Naibu Waziri wa Elimu…

Read More

Sh32.3 bilioni kuimarisha huduma za afya Zanzibar

 Unguja. Wizara ya Afya Zanzibar, imeingia mkataba na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (Unicef) wa ununuzi wa vifaa kwa ajili kuboresha huduma za afya hususani mama na mtoto kisiwani hapa. Kupitia mkataba huo wa manunuzi wenye thamani ya Dola za Marekani 12.5 milioni (Sh32.3 bilioni), Unicef itasaidia utoaji wa dawa muhimu na…

Read More

EALA waanza uchunguzi dhidi ya Dk Mathuki

Arusha. Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wanatarajiwa kukutana hivi karibuni ambapo pamoja na mambo mengine watamthibitisha katibu mkuu mpya wa Jumuiya hiyo Caroline Mwende Mueke. Serikali ya Kenya ilimpendekeza Caroline kuchukua nafasi ya Dk Peter Mathuki kwa miaka miwili iliyobaki, baada ya Dk Mathuki kuteuliwa kuwa Balozi wa Kenya nchini Russia…

Read More

BARABARA YA MBALIZI-MKWAJUNI KUJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI

NAIBU Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya amesema Serikali inaendelea na utekelezaji wa ujenzi wa barabara ya Mbalizi-Mkwajuni kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilometa 92 inayounganisha mikoa ya Mbeya na Songwe. Mhe. Kasekenya ameyasema hayo leo Bungeni jijini Dodoma katika kipindi cha maswali na majibu alipokua akijibu swali la Mbunge wa Viti maalum…

Read More

Gamondi, Aziz Ki waitisha Dodoma Jiji

HAIJAISHA hadi iishe, hivi ndio unaweza kusema baada ya kocha wa Yanga kutangaza vita kwenye mechi tatu zilizobaki ikiwemo ya kesho dhidi ya Dodoma Jiji kuwa hawajakamilisha ratiba na wanataka rekodi. Kiungo wa timu hiyo, Stephane Aziz Ki ameungana na kauli ya Gamondi akisisitiza kuwa bado wanayo kazi ya kuendelea kuwapa furaha mashabiki wao bila…

Read More