Utafiti kufanyika kubaini sumu ya samaki aina ya kasa

Unguja. Baada ya kutokea vifo vya mara kwa mara vinavyotokana na ulaji wa samaki aina ya kasa, sasa utafanyika utafiti wa sumu asili (Biotoxin) zilizomo ndani ya samaki huyo kuzitambua na athari zake. Baada ya kutambua sumu hizo, elimu itakayopatikana kutokana na utafiti huo itatumika katika kuelimisha jamii kuhusu athari zitokanazo na ulaji wa kasa.  Hatua…

Read More

Ni sanamu! Clara afunguka kupiga picha na Ronaldo

NYOTA wa Tanzania, Clara Luvanga anayekipiga katika klabu ya wanawake ya Al Nassr nchini Saudia alipachika picha akiwa pamoja na Staa wa timu hiyo, Cristiano Ronaldo iliyoacha maswali mengi kwa mashabiki wake wengine wakidhani imehariria hapa anajibu. Mapema leo alikuwa mubashara kwenye mtandao wa instagram na kujibu ukweli wa picha hiyo baada ya shabiki mmoja…

Read More

Benki ya Exim yazindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’

  KATIKA juhudi za kuboresha teknolojia za kidijitali katika sekta ya elimu, Benki ya Exim imezindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’ maarufu kama ‘Shule Kidijitali’, suluhisho la malipo linalorahisisha malipo ya ada za shule moja kwa moja na wazazi, walezi, au wanafunzi wenyewe. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dara es Salaam … (endelea). Kupitia namba maalum inayotolewa…

Read More

Wataalam TZ walalamikia kukosekana sera ya Akili Mnemba – DW – 21.05.2024

Wakati matumizi ya teknolojia hiyo yakianza kuwavutia wengi ikiwamo vijana wanachipua katika elimu ya vyuo vikuu kumekuwa na wasiwasi kutokana na serikali kutoweka bayana kuhusu sera inayoangazia eneo hilo. Hatua hiyo inakuja wakati mjadala kuhusu matumizi ya teknolojia hiyo ukiwa umeanza kuchomoza katika maeneo mbalimbali ikiwamo mijadala ya wasomo pamoja na wabunge bungeni inayoendelea kushuhudiwa…

Read More

Mwananchi, La Liga watia nguvu Umitashumta 

KATIKA dhana ya kuwezesha jamii, Kampuni ya Mwananchi Communications (MCL) kwa kushirikiana na Ligi Kuu Hispania (La Liga) wamechangia vifaa vya michezo katika Wilaya ya Ubungo, Dar es Saalam kwa ajili ya mashindano ya  Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta) yanayoendelea kwenye Uwanja wa Kinesi. Mbele ya mamia ya wanafunzi,…

Read More